Kuna uwezekano wa kupata mimba siku ya 11 ya mzunguko wa hedhi?

Kuna uwezekano wa kupata mimba siku ya 11 ya mzunguko wa hedhi?

Hiyo ni mimba kabisa hakuna mashaka. Tena ya mtoto wa kike maana y chromosome iliwahi kufa x akafanya mambo. Andaa pampas.
Alizimwaga nje lkn waswas wangu ni kwamba labda kuna tujamaa tulipita lkn niliosha fasta
 
Kama una dawa ya kusafishia meno , nakufundisha hili Chukua kiasi weka katika glass au kata chupa ya maji I we glass kisha chukua mkojo wako hususan was asubuhi kiasi kama mls 5-8 cjanganya kwnye ile glass uliweka dawa ya kusafishia meno koroga kutafuta iwe soft , waweza ongeza kojo kama itakuwa nzito , ikishakoroga itatoa kama ka povu HIV nakuchukua kama rangi ya blue hivi na vipovu UKIONA HIVYO JUA KIMENASA
 
Kama una dawa ya kusafishia meno , nakufundisha hili Chukua kiasi weka katika glass au kata chupa ya maji I we glass kisha chukua mkojo wako hususan was asubuhi kiasi kama mls 5-8 cjanganya kwnye ile glass uliweka dawa ya kusafishia meno koroga kutafuta iwe soft , waweza ongeza kojo kama itakuwa nzito , ikishakoroga itatoa kama ka povu HIV nakuchukua kama rangi ya blue hivi na vipovu UKIONA HIVYO JUA KIMENASA
Ngoja nitajaribu
 
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba??

Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakini nina wasiwasi maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia.

Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina wasiwasi maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
99% hauna ujauzito madam me and I ,hizo ulizonazo sio dalili za ujauzito.Wasiwasi ulionao utasababisha uchelewe kuingia katika next menstrual cycle.Maumivu uyapatayo chini ya kitovu inaweza kuwa una infection katika njia ya mkojo.Nakushauri uende hospitali iliyo karibu kwa ajili ya uchunguzi,ila kama hauko karibu na huduma za hospitali,unaweza fanya hivi kunywa kiasi kisichopungua 4.5liters cha maji kila siku kwa muda wa siku tatu hadi tano mfululizo hayo maumivu ya tumbo yataondoka kisha ukirudi kwenye huduma za afya jifanyie uchunguzi.
 
99% hauna ujauzito madam me and I ,hizo ulizonazo sio dalili za ujauzito.Wasiwasi ulionao utasababisha uchelewe kuingia katika next menstrual cycle.Maumivu uyapatayo chini ya kitovu inaweza kuwa una infection katika njia ya mkojo.Nakushauri uende hospitali iliyo karibu kwa ajili ya uchunguzi,ila kama hauko karibu na huduma za hospitali,unaweza fanya hivi kunywa kiasi kisichopungua 4.5liters cha maji kila siku kwa muda wa siku tatu hadi tano mfululizo hayo maumivu ya tumbo yataondoka kisha ukirudi kwenye huduma za afya jifanyie uchunguzi.
Bora umenipa hata moyo mkuu asante but what if nimenasa
 
Kama una dawa ya kusafishia meno , nakufundisha hili Chukua kiasi weka katika glass au kata chupa ya maji I we glass kisha chukua mkojo wako hususan was asubuhi kiasi kama mls 5-8 cjanganya kwnye ile glass uliweka dawa ya kusafishia meno koroga kutafuta iwe soft , waweza ongeza kojo kama itakuwa nzito , ikishakoroga itatoa kama ka povu HIV nakuchukua kama rangi ya blue hivi na vipovu UKIONA HIVYO JUA KIMENASA
Mkuu na je kama sina povu litakuwa LA rangi gani
 
Bora umenipa hata moyo mkuu asante but what if nimenasa
Inategemea kama unaweza kulea mimba na sio threat kwa afya yako ya mwili na akili ni jambo zuri,otherwise for the first trimester kuna njia mbili salama za ku end pregnancy,Medication abortion(abortion with pills) or An aspiration abortion (surgical/suction abortion).
 
Inategemea kama unaweza kulea mimba na sio threat kwa afya yako ya mwili na akili ni jambo zuri,otherwise for the first trimester kuna njia mbili salama za ku end pregnancy,Medication abortion(abortion with pills) or An aspiration abortion (surgical/suction abortion).
IPI ni nzuri mkuu
 
Kwa uliyo yasema mimi ninakushauri uende hospital ufanyiwe uchunguzi hususan ULTRA SOUND kwani kuna mambo mengi yanayohitaji uchunguzi Wa kina
 
Back
Top Bottom