Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,545
Hamna kitu kama hiyo boss labda kama umehamisha akili kwa utamu lakini ukiamua kutoa unatoa unapukuta na unarudi mchezoni murua kabisaaa bila tabu na hakuna joti atakae bakiamoHuu mchezo wa kutoa nje ni kujidanganya tu! Unapoanza tu kujisikia vitu hutoka kama risasi! Vile vya kwanza huwa vimeshatoka tayari! Unajichafua bure tu!