naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,431
Xx - mbegu za kike ndiyo zinaweza kudumu kwa kipindi kirefu kidogo kuliko XY za kiume.Kati ya mbegu za kiume naza kike zipi zipi zinadum kwa siku nyingi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xx - mbegu za kike ndiyo zinaweza kudumu kwa kipindi kirefu kidogo kuliko XY za kiume.Kati ya mbegu za kiume naza kike zipi zipi zinadum kwa siku nyingi?
Nakumbuka imenitokea siku ya 11 mimba ilipatikana na si kwamba nilihesabu vibaya hapana nilikuwa makini sana,,mimba ilipatikana now mtoto anakuwa tu vizur na maisha yanendelea kama kwaida,,so hizi siku bwana wakati mwingine majanga kabisa
Unampa njia ya kufanya mauaji.Pole sana maana najua mateso ya kuwaza icho kitu japokuwa siyo mlengwa wa moja kwa moja lkn km mwanaume mwenye akili timamu Ukifanya kitu km icho na hukawa bado hujawa tayari kukipokea lazima uathirike psychological. Mbegu za kiume zinaweza kudumu kwa masaa 72 tu. Km kuna vijamaa vilipenya na vikaweza ku survive within 72 hrs na vikaweza kuvunja kingo za yai basi sawa all the best. Lkn pia kumbuka unaweza kusex siku ya hatari na bado husishike mimba, next time Ukifanya kitu km icho na ukawa na shaka kuna dawa za kuhuwa manii zisiweze kurutubisha yai 3 days before unaweza kuzipata duka la dawa. Lala acha kuwaza usiku usiku.
Sidhani!!!!Xx - mbegu za kike ndiyo zinaweza kudumu kwa kipindi kirefu kidogo kuliko XY za kiume.
Ndio tena atakuwa wa KIKE
Uwezekano ni mkubwa sana maana siku ya 11 n siku ya ovulation day yani yai ndy ndy linatoka kweny ovari co uwezekano n mkubwa tena uko mbioni kupata mtoto wa kike siku safi zinaishia siku ya 8
Niliambiwa siku 5 za kiume na zakike siku 2. Au nilipotoshwa na mwalimu wangu?
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba??
Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakini nina wasiwasi maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia.
Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina wasiwasi maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Huu mchezo wa kutoa nje ni kujidanganya tu! Unapoanza tu kujisikia vitu hutoka kama risasi! Vile vya kwanza huwa vimeshatoka tayari! Unajichafua bure tu!Katoa nje. Hakuna mimba hapo wewe kula bata tu
Huyo unayedai ni mwenzio je ni mumeo? Maana si vizuri kuwashirikisha waungwana mambo ya uasherati!
Yaani starehe upate wewe kisha unaleta upuuzi wako hapa
hiyo ndio yenyewe hasa! lakini si ulifauduu