Kuna uwezekano wa kupata mimba siku ya 11 ya mzunguko wa hedhi?

Kuna uwezekano wa kupata mimba siku ya 11 ya mzunguko wa hedhi?

mkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba

Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.

maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Akitoka MTT wakiume mimba ya mume wake akitoka wa kike mimba yamchepuko
 
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
 
Mimi sijaelewa hii siku ya kumbe na moja inaanzia wapi lakini wacha niingize Nene hivyo hivyo.

Kwa ufahamu wangu ninavyofahamu kuwa kama una mzunguko wa siku ishirini na name basi unaweza shika mimba kuanzia siku ya Tisa kutoka ulivyoanza kuona hedhi..tunasema kuanzia siku ya Tisa kwa sababu mbegu za kiume zinadumu hai kwa Massa sa 72 sawa na siku tatu hivyo no rahis kushika mimba unaposex siku kama hizo.

Alafu wapo wenye mzunguko mpaka wa siku 33-35 sasa hawa wanakuwa tofauti na huyo mwenye mzunguko wa kawaida siku ishirini name jinsi ya utungwaji mimba...na wapo kwenye mzunguko mfupi zaidi.sasa inadepent wewe upo kundi gani LA hiyo mzunguko niliyotaja..na hiyo siku ya kumi na moja ulianzia wapi kuihesabu.

He he he ila dizain kama umenasa maana mimba inatabia ya kutibua tumbo kama unataka kuingiaa hedhi alafu kitu ukioniii 😀😀😀😀siku zinasongaa....
Mm mzunguko wangu ubabadilikabadilika Mara 28 Mara 30 Mara 31 yaan haueleweki
 
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..

Kama ni mtoaji nje mzuri ninaamini upo poa, 11 day ina uwezekano MKUBWA SANA, ila hizo dalili sio zenyewe!
 
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
Mkuu hujui kuwa kuna kununua vocha kwenye miamala??
 
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?

Hivi vocha na smart phone si anaweza kuwa kaenda nazo au kutumiwa? kabla hujaropoka fikiria, kuna vijiji havina maduka ya dawa kabisa, na labda yapo hayana hivyo VIPIMO!
 
Hivi vocha na smart phone si anaweza kuwa kaenda nazo au kutumiwa? kabla hujaropoka fikiria, kuna vijiji havina maduka ya dawa kabisa, na labda yapo hayana hivyo VIPIMO!
Itakuwa una vinasaba vya kike wewe. Kama unaweza ingia kwenye simu ya smart phone na kuandika jf hasa kwa maeneo ambayo yana 3g. Sasa kwa uzoefu 3g iko maeneo ambayo kidogo yameendelea sasa sijui unabishana nini.Hata zahanati ikosekane
 
mkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba

Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.

maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Mimba ni ya mchepuko
 
Itakuwa una vinasaba vya kike wewe. Kama unaweza ingia kwenye simu ya smart phone na kuandika jf hasa kwa maeneo ambayo yana 3g. Sasa kwa uzoefu 3g iko maeneo ambayo kidogo yameendelea sasa sijui unabishana nini.Hata zahanati ikosekane

Kijijini kwetu waweza tembea kwa 2KM ukapata 3G, na hakuna dispensary ... wewe unakaa Manzese unafikiri kila mahali pako kama Kijiji cha Manzese!
 
Ha ha ha. Mungu atusaidia wanawake. Yaaani zikija unaweza hata chinja mbuzi kwa furaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hahahhaha usiombee uwe umecheza rafu na kadent alafu kanakwambja stori kama hizo dah.....

After a long wait, siku ya siku anaona siku zake unaweza ukawa chizi gafla.

Kuna rafiki yangu alisha wahi kutupa offer ya bia kwa sababu ya hii kitu.
 
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
Nenda wilaya ya tunduru ndan utaona Tanzania inaukubwa gani na baadhi yamahitaji yapo kwajili ya wahitaji tu no extra unakuta duka lina koloboi ya mafuta ya kula ya taa kiberiti unga ndala chumvi sukari magadi amila ukitaka nido na vocha fata mwenyew mjin mkuu Tanzania kubwa sana na kuna sehem unaweza kwenda ukashangaa Hv bado kunajamii ya watu wanaishi Hv karne hii? Kuna vijiji unaenda unamkuta nesi anafanya had majukum ya Dr. Maan ndy mtaalamu pekee wa afya kijijini hapo sishangai hilo aulizalo muhusika juu
 
Kutoka ulipo paka town nauli shingapi? Au vijiji vya jirani? Be serious assume umeumwa au unadharula inayokuhitaji wewe kwenda kwenye health center...

Siku ya 11 ni hatari kama zilivyo nyingine. Tafuta nauli
 
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakn nina waswas maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia. Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina waswas maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Hapo tayari una mimba!! Yai hupevuka siku ya 14, na mbegu za uzazi zinauwezo wa kuishi katika kizazi hadi siku 3,Suala kuwa alimwagia nje ni gumu maana tule tujamaa tuna spidi sana wakati wa kutoka, na nilishajaribu huwa zinaponyoka.
 
mkuu nna kisa kimoja hapa ni mambo ya aibu ila ndivyo ilivyo, yeye alikutana na mchepuko siku ya 12 akarudi kwa mchumba siku ya 15 baada ya wiki dalili za ujauzito kupima hakuona kitu. baada ya wiki 3 kupima ana mimba

Hajui mimba ni ya nani?, kama ya mchepuko ndo uchumba umeisha na hataki ndoa maana anahisi inaweza kuwa ya mchepuko ikawa aibu.

maisha ya dada zetu haya ni kazi sana
Pole kwake lkn ni changamoto za kawaida, duniani hapa hakuna aliye mkamilifu kuna waliopo kwenye ndoa kabisa lkn wamezaa nje ya ndoa hivyo asijione kukosea sana. Aikubali hali aliyonayo na aamue mwenye asimame wapi maana ni ngumu kujua moja kwa moja ni manii za nani zilirutubisha yai kwa sasa. Wakati mwingine maisha yanahitaji msimamo na uwe na siri zako binafsi.
 
Back
Top Bottom