zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
nimeishia kucheka tu, ungejua spidi ya huto tu bwana wala usinge semaLkn nilienda kuosha na maji fasta au tunaweza kuwa tulishakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeishia kucheka tu, ungejua spidi ya huto tu bwana wala usinge semaLkn nilienda kuosha na maji fasta au tunaweza kuwa tulishakimbia
Hahahahaha miaka 30 jela ilikuwa inanukia.Inaonekana ww ni mhanga/ ulisha pitia hiyo kitu...
Kama mwanaume hakuwa amejipanga akipokea hizo taarifa unaweza kudata... Kuna mwanafunzi mmoja alisha wahi kujishtukia akanipa taarifa hizo kuwa tumbo linamuuma kidogo nihame mji....
Alivyo enda kupima akakuta hamna kitu, mm na yy mawasiliano tukakata
Unaona kama umeona dhahabu yaani.Ha ha ha. Mungu atusaidia wanawake. Yaaani zikija unaweza hata chinja mbuzi kwa furaha
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba??
Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakini nina wasiwasi maana tumbo linauma chini ya kitovu upande wa kulia.
Ila mwenzangu nilimtahadhalisha nikamwambia atoe nje na alitoa nje kweli but Nina wasiwasi maybe wakati anatoa nje kuna tujamaa tushatangulia u never know, na bahati mbaya nipo kijijini yaani jinsi ya kupata kipimo cha mimba mtihani , Naombeni majibu wakuu ..
Hadi 21... 18 kama yai lilichelewa chelewa unashangaa imoooMkuu ukiishia ya 8 ni hadi lini? Maana mie nimeishia 8-18 **** mdau kasema hadi 24 sina hamu?
Mungu wngu.. Usikute, maana nasikia njaa sana Sikh hiziHadi 21... 18 kama yai lilichelewa chelewa unashangaa imooo
mkuu siku ya kumi na saba vipi maana mda huu nahaha, i made a mistake??Asee umepata shost..danger bin danger sikuu ya 11?
100%Maisha haya, wakat kuna watu wanatafuta watoto, wengne wanakwepa watoto