Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu toka yule mwalimu wa kwaya/mzee wa kanisa/pastor akutombe mkeo jina kanisa hata jina hutaki kulisikia😄😃😀Sijawahi enda kanisani tokea 2016
Hii nayo ni mada nyengine
""Nitakuja na Uzi wake siku moja""
Ni kisangaaaa
Tuendelee kula maua ya Mungu, tumeumbiwa sisi wanaume.
To yeye njoo na wewe utoe sifa zako kwa mabaunsa..!!!
#YNWA
Kwa mshepu huo jirani lipo no kigodoro, tumbo kama la nyoka na kifua ni saa 7 kasoro unaachaje kuwa jf vixen😂Me sio vixen jirani taratibu 😂
😂😂😂😂 Uzi ufungweKwa mshepu huo jirani lipo no kigodoro, tumbo kama la nyoka na kifua ni saa 7 kasoro unaachaje kuwa jf vixen😂
Usipokuwa jf vixen hiyo dhambi ni nani atakusaidia kutubu jirani 😂😂😂😂😂 Uzi ufungwe
Okey.ingekuwa umewekeza usingeleta mada yakijinga namna hii inayoonyesha unatamani mambo ambayo ningumu kwako kuyapata
achamambo yakijinga.
Bado Tunduma kunanihusu.Pale kwa biashara bila uchawi hutoboi palinishinda.
Nina sababu nyingi sanaa zinanifanya nisiende kanisani.Mkuu toka yule mwalimu wa kwaya/mzee wa kanisa/pastor akutombe mkeo jina kanisa hata jina hutaki kulisikia😄😃😀
Mtoa Uzi unatafuta namna ya kuwafanya wauze kideo Chao tumekugunduaINTRODUCTION
Hamjambo bandugu...
Leo nimejiuliza "Nikishapata sanaa hela NINI KINAFATA?"
Nikajijibu "Ni stareheeee"
Sasa nikiwaza, hivi Hawa Video Vixen watoto warembo wanapatikana wapi?
BODY:
Ngoja twende mdogomdgo MTANIELEWA TUU...
Mi bwana pamoja ya kwamba sitaki kuoa ila hawa watoto (Video Vixen) wananimaliza sanaa mwenzenu, kwani hizi hela nazitafuta za nini?
Nikishawekeza, nikishafungua mabiashara, nikisha nunua magari NINI KINAFATA?
SCENARIO:-
1. Video Vixen wa kwanza
Nyimbo ya Fid Q Ft. Isha Mashauzi, Rich Mavoko na Jahman
Mule kwenye hii video Kuna Video Vixen mmoja nadhani ndio "main Chick", kwenye ile video huwa anatokea kavaa Nguo za orange, sweta jeusi na kajifunga kikoi chini, mara analamba pipi mara ameshika kopo la corn.
1. Huyu mtoto ni black beauty
2. Simple figure
3. Ngozi soft balaa
4. Ana Anglia yake mamaeee ni nomaaa
5. Huyu mama angu hanaga makuu kwenye video.
2. Video Vixen wa pili
Nyimbo ya Navy kenzo Ft Diamond - Katika
Pale kwenye verse ya Mond Kuna mtoto anatokea kwenye mashuka yaliyoanikwa halafu anakiuno balaa (miuno feni)
Lakini pia sometimes utamuona juu ya jengo anakatika.
Kwenye video kavaa blauzi nyekundu na taiti nyeusi
1. Mtoto miuno feni
2. Mtoto mweupe
3. Mtoto ana msamba fulani amaizing
4. Mtoto Kuna scene anakatikia kontena "My God she is amaizinggggg"
3. Video Vixen 3
Shetta Ft. Jux & Mr. Blue - Hatufanani nao.
Kuna mtoto humu ndani ya hili deo, amevaa nguo nyeupee halafu nywele kabana kwa juu.
Kwenye chorus ya Jux utamuona anatokea na tembea yake huku anavua miwani nusu.
Nyie huyu mtoto...
1. Nampa Shikamooo mamaaaa
2. Mtoto akitembea kiuno kinakatika chenyewe
3. Mtoto mweupeee ile kiutamu
4. Mtoto sijui kazaliwa Maka, maana mmmmh ana moto wake fulani hivi unawakaaaaa
4. Video Vixen wa 4
Shetta Ft. Mario - Bozeman
Wakati video inaanza Kuna video Vixen anatokea anatembea, nyie huyu mtoto ana shinduuuuuuuuuuuu hatariiiii.
5. Hapo sijaongelea ma ngongingo na mawowowo ya Baba levo Ft. Ray Vanny..!!!
Naomba niishie hapo.
Hawa watoto hawaaaa, dah basi tuuuu.
Tuendelee kutafuta hela
""If you think money does not buy happiness go and ask the homeless and the jobless""
Money buys anything and everything in this world.
YANGA BINGWA
#YNWA
Duh! Hongera mkuu. Wenzako wanafaudi kuku za kienyeji...we wataka hao wanuka K..😏😌INTRODUCTION
Hamjambo bandugu...
Leo nimejiuliza "Nikishapata sanaa hela NINI KINAFATA?"
Nikajijibu "Ni stareheeee"
Sasa nikiwaza, hivi Hawa Video Vixen watoto warembo wanapatikana wapi?
BODY:
Ngoja twende mdogomdgo MTANIELEWA TUU...
Mi bwana pamoja ya kwamba sitaki kuoa ila hawa watoto (Video Vixen) wananimaliza sanaa mwenzenu, kwani hizi hela nazitafuta za nini?
Nikishawekeza, nikishafungua mabiashara, nikisha nunua magari NINI KINAFATA?
SCENARIO:-
1. Video Vixen wa kwanza
Nyimbo ya Fid Q Ft. Isha Mashauzi, Rich Mavoko na Jahman
Mule kwenye hii video Kuna Video Vixen mmoja nadhani ndio "main Chick", kwenye ile video huwa anatokea kavaa Nguo za orange, sweta jeusi na kajifunga kikoi chini, mara analamba pipi mara ameshika kopo la corn.
1. Huyu mtoto ni black beauty
2. Simple figure
3. Ngozi soft balaa
4. Ana Anglia yake mamaeee ni nomaaa
5. Huyu mama angu hanaga makuu kwenye video.
2. Video Vixen wa pili
Nyimbo ya Navy kenzo Ft Diamond - Katika
Pale kwenye verse ya Mond Kuna mtoto anatokea kwenye mashuka yaliyoanikwa halafu anakiuno balaa (miuno feni)
Lakini pia sometimes utamuona juu ya jengo anakatika.
Kwenye video kavaa blauzi nyekundu na taiti nyeusi
1. Mtoto miuno feni
2. Mtoto mweupe
3. Mtoto ana msamba fulani amaizing
4. Mtoto Kuna scene anakatikia kontena "My God she is amaizinggggg"
3. Video Vixen 3
Shetta Ft. Jux & Mr. Blue - Hatufanani nao.
Kuna mtoto humu ndani ya hili deo, amevaa nguo nyeupee halafu nywele kabana kwa juu.
Kwenye chorus ya Jux utamuona anatokea na tembea yake huku anavua miwani nusu.
Nyie huyu mtoto...
1. Nampa Shikamooo mamaaaa
2. Mtoto akitembea kiuno kinakatika chenyewe
3. Mtoto mweupeee ile kiutamu
4. Mtoto sijui kazaliwa Maka, maana mmmmh ana moto wake fulani hivi unawakaaaaa
4. Video Vixen wa 4
Shetta Ft. Mario - Bozeman
Wakati video inaanza Kuna video Vixen anatokea anatembea, nyie huyu mtoto ana shinduuuuuuuuuuuu hatariiiii.
5. Hapo sijaongelea ma ngongingo na mawowowo ya Baba levo Ft. Ray Vanny..!!!
Naomba niishie hapo.
Hawa watoto hawaaaa, dah basi tuuuu.
Tuendelee kutafuta hela
""If you think money does not buy happiness go and ask the homeless and the jobless""
Money buys anything and everything in this world.
YANGA BINGWA
#YNWA
kwa hiyo amewaka au?1. natamani kumbambia Irene Uwoya kisha anikatikie
nikijipata lazima nisuuze rungu hapo, kisha nawahi PEP chap
hahaha sijui aisee, ntapiga PEP kukamilisha ratibakwa hiyo amewaka au?
😁😁😁Usimchukulie serious sana! Mtoa mada shule imo kichwani ana masters huyoHivi shule zimeshafungwa?
😋😋😋😋😋Duh! Hongera mkuu. Wenzako wanafaudi kuku za kienyeji...we wataka hao wanuka K..😏😌
View attachment 2832407
Usisahau ni PhD candidate wa PhD in Financial Economics.😁😁😁Usimchukulie serious sana! Mtoa mada shule imo kichwani ana masters huyo
Mr Angelo.....Hivi shule zimeshafungwa?
Watu humu wakiona mnadiscus nyeto & misambwana wanajua ni jobless wa 2015🤣 kumbe watu wana maisha yao na elimu imesimama kichwaniUsisahau ni PhD candidate wa PhD in Financial Economics.
#YNWA
Basi wewe ni mchawi.Bado Tunduma kunanihusu.
Naendaga na kurudi.
#YNWA
Hawa viumbe dah 👀👀hapa nimewasha PC nimeanza kuangalia hz nyimboView attachment 2832427
Asanteni ndugu wajumbe.
Kuna raia zinakojolea pazuri mamaeeee
Nikifumania poa tuuuu
Demu bombaaaa
#YNWA