Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Shida mtu wa kumuoa ambaye anamaadili, hatakupenda kwa sababu ya mali zako, hatakusumbua , anauwezo wa kulea familia , ataachana na mashoga wanaompoteza


Wanawake wengi wajuaji na wanaakili wanayoita yakisasa


Kupata mke kwa sasa ngumu

Wengi tunawaona wanaoa kwa harusi za mamilioni lakini ndoa huvunjika mda mfupi


Lazima kuwe na uoga
He wewe uko Kama hayo uliyoyasema??
 
Back
Top Bottom