Kuna viongozi wanahujumu miradi ya SGR wakiwaza biashara zao za mabasi na malori zisife. Muda si mrefu tutaburuzwa mahakamani kwa kukiuka mkataba

Kuna viongozi wanahujumu miradi ya SGR wakiwaza biashara zao za mabasi na malori zisife. Muda si mrefu tutaburuzwa mahakamani kwa kukiuka mkataba

Kenya kuna SGR na Mabasi na Malori bado yanafanyakazi.
Wabongo tunapenda sana kulalamika.
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Kitu kikubwa kinacho umiza ni fedha zilizolala au zinaoza katika miradi hiyo.
Pili ni adha ya usafiri wa basi wanayopata wasafiri kuelekea pande hizo iwe Karagwe, Kagera,Chigoma,Mara na kadhalika.
Hasa wazee na watoto Kwani kwenda maliwatoni Kwa basi mpaka dereva aamue, tatizo jingine ni kukaa Kwa muda mrefu bila kunyosha miguu , tatu ni muda wa safari ambao unatarajiwa kupungua hivyo kuongeza tija katika uzalishaji na kufanya biashara.labda waseme kwamba Hawataki au juhudi za makusudi kuhujumu maendeleo ya mikoa husika na watu wake , ili walio nacho wabaki wao Tu na sio tabaka lililo chini Yao.
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Wanaweza kufikiria hivyo. Ila wanakosea. Tanzania inahitaji Kuunganishwa ni nchi kubwa.

Malori, Mabasi, SGR, daladala Metro, Mwendokasi, bajaji, boda, uber, taxi, mkokoteni, baiskeli vyote bado vinahitajika na vitahitajika kwa miaka zaidi 20 ijayo. Ukizingatia SGR haitakamiliki leo au kesho na kukumbuka jinsi population ya Watanzania inavyoongezeka kwa kasi.
 
Tuna uongozi nashindwa hata kueleza kipi wamatekeleza na kujisifia nacho.

Leo nilikuwepo pale one stop centre pale temeke, jengo jipya umeme umekatika hata stand by generator hamna.
 
Kuna upigaji mkubwa. Ila mabasi na malori na SGR vinaweza kwenda pamoja.

SGR itakuwa expensive kidogo lakini usafiri wa haraka. Mabasi, malori cheap kidogo ila itatuma muda zaidi.

Watu wataamua. Nchi nyingi duniani zina hizi options zote.
Muda ni mali
 
Kwani Huwa Kuna uchagizi?
Zaidi ya watu kupandikizwa
Babu bul, natamani nikuite 'We CHADEMA wewe' ila nasita, kwa sababu waweza kuwa umelishwa tu hayo maneno na Wana CHADEMA kuwa, Huwa hakuna Uchaguzi Tanzania, kitu ambacho kitakuwa sio sahihi.

Kukujibu moja kwa moja, NDIO, huwa kuna Uchaguzi Tanzania. Unadai watu wanapandikizwa....Watu wanapandikizwa kivipi?

Kama wewe ni CHADEMA utaenda kususa tena?
 
Babu bul, natamani nikuite 'We CHADEMA wewe' ila nasita, kwa sababu waweza kuwa umelishwa tu hayo maneno na Wana CHADEMA kuwa, Huwa hakuna Uchaguzi Tanzania, kitu ambacho kitakuwa sio sahihi.

Kukujibu moja kwa moja, NDIO, huwa kuna Uchaguzi Tanzania. Unadai watu wanapandikizwa....Watu wanapandikizwa kivipi?

Kama wewe ni CHADEMA utaenda kususa tena?
Nimekuelewa chama Mabuzi ila Kila chenye mwanzo kina mwisho
Dalili ya mvua ni mawingu
 
Inawezekana waliopewa dhamana yakisimamia hii miradi walikuwa against mwanzilishi wake. Inawezekana waliopo wizara ya fedha walikuwa siyo wafuasi wa Magufuli.

Lakini kwa gharama zilizokwisha kutolewa kwenye miradi hii ni Busara zaidi kuacha kutoa fedha kwa miradi mingine nakuelekeza fedha kwenye miradi hii ikamilike angalau huduma zianze kutolewa tupate fedha za kulipa madeni. Leo wafanyakazi wa SGR wanagoma viongozi wapo wanaingia ofisini na kutoka hakuna tamko wala maelekezo yanayotolewa.

Tutaendelea kuchezewa hadi lini?
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
nakubaliana na hoja yako kwa asilimia 100, SGR inahujumiwa sana kuanzia kwa CAG hadi Bungeni.
 
Hivi kweli Rais, Pm na, makamu wa rais wote wapo!! Inawezekana vipi eti kuna watu wana kwamisha?? Yaani uzembe wa viongozi wakuu kabisa ufichwe kwa kuwalaumu wahuni wachache?!! Sio sawa, wakulaumiwa ni hao!! Ndio ile tabia ya mi ccm mingi siku hizi imeona style ya kulia mbele za wapiga kula ili kutafuta public sympathy, ndio soln!!
Sijataja mtu anayekwamisha mkuu, nimetoa mfano tu ambao ndio uhalisia uliopo. Kumbuka siasa ni mchezo wa maslahi binafsi.
 
Back
Top Bottom