EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hayo yapo kwenye ujenzi hayatumiki, ni majengo ya feza boyz.
Sijui huwa waqonaje ubaoni nilichungulia humo ni giza tupu ukitazama matokea ya watoto wanaosoma humu wengi wastani wao ni c kushuka chiniNi kama gereza, ndani kiza. Very unconducive environment
Wao wanaishi vizuri wana haja gani na walalahoi wanachohitaji kwao ni kura zao tuTaifa haliko makini kufuatilia elimu ya watoto wa masikini
Hakika mkuuWao wanaishi vizuri wana haja gani na walalahoi wanachohitaji kwao ni kura zao tu