- Thread starter
- #21
Iam Lupa itoshe kusema unazingua sana,ww ni kundi la-wale mnaosaidiwa kisha unaanza kusema bila Mungu ,cjui kama ipo ipo tu,jifunze kua-appreciate michango yawatu ktk maisha yako,wengine wanazitqfuta hizo connection lkn hawazipati...hii cenario yako haina tofauti na ule usemi wa mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,,imagine jamaa akijua unamnanga hivi....halafu ukute ww hata huna huo uwezo wa kutoa hizo conn
ndugu nina miaka 10 kazini out to speak this inshu hapa hamna sehemu nimewai kusema. na hii nimeandika ni kile nime-experience na sio mimi tu wengi tu yanawakuta haya na ni mbaya sana in mental healthy.Iam Lupa itoshe kusema unazingua sana,ww ni kundi la-wale mnaosaidiwa kisha unaanza kusema bila Mungu ,cjui kama ipo ipo tu,jifunze kua-appreciate michango yawatu ktk maisha yako,wengine wanazitqfuta hizo connection lkn hawazipati...hii cenario yako haina tofauti na ule usemi wa mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi,,imagine jamaa akijua unamnanga hivi....halafu ukute ww hata huna huo uwezo wa kutoa hizo connection sasa.
mi sijazungumza ubaya wake tu ndo mana nimeonesha kuheshimu mchango wake pitia vizuri io thread yangu.
Na kama atamaindi ni sawa tu mana hata mimi kuna time nilimaindi pia..ila jaribu kuexperience kitu hiki