Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

MO alitamba na Simba baada ya kumtumia Makonda kumwangamiza Manji.
MO ametamba baada ya Manji kufanyiwa fitina na mshauri wa MO ndugu Makonda na Simba ikatamba mbele ya Yanga inayo tembeza bakuli.
Kwa Sasa Yanga wapo vizuri, ata ikitokea MO aungane na Barekhsa wa Azam hawana uwezo Tena uwezo wa kuiangusha Yanga.
Swala la Makombe msahau labda Tff wafanye Yale mambo ya Tatu Malogo kule Tanga.
Unamanisha Nini kusema yanga wapo vizuri?kiuchumi au kushinda kwa makando makando,naweza kusema kwasasa serikalini kumejaa watu wengi wa yanga,kuanzia ridhiwan mzee kikwete,mwigulu nchemba,lakin hata hatokaa milele,Kuna mda wataondoka
 
Unamanisha Nini kusema yanga wapo vizuri?kiuchumi au kushinda kwa makando makando,naweza kusema kwasasa serikalini kumejaa watu wengi wa yanga,kuanzia ridhiwan mzee kikwete,mwigulu nchemba,lakin hata hatokaa milele,Kuna mda wataondoka
Yanga inashindaje kwa makando kando?
 
Kama ni jambo baya kwa Simba nilitegemea kuona ukifurahia kwasababu siku zote mashabiki wa Simba na Yanga hawapendi kuona mwenzake anakuwa imara.

Hiyo tu inatosha kuonyesha kuwa Mangungu ni kiongozi ambaye anatumika kuihujumu Simba na ndio maana wapinzani wetu hawataki kuona akiondoka.

Tunafahamu kuwa Mangungu alikuwa shabiki wa Pan African, na Pan African ilikuja kuwa merged na Yanga.

Na ndio maana mpaka leo haijulikani Mangungu ametokea tawi gani la Simba.

Wachezaji mpaka makocha wote wanasema uongozi ndio shida haiwezi kuwa coincidence kuwa wote wakaongea uongo.

Tunamtimua babu yenu na kipara chake kama Shaolin mkampe uongozi kama mlivyofanya kwa Manara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilikuwa namuliza huyo jamaa hapo juu,anasema mo hata aungane na bakheresa hawawezi yanga,ndo nikamuliza kiuchumi au kimakando makando
MO hajui mambo ya mpira yeye pale Simba yupo kibiashara, MO ame bobea katika uchumi na biashara anacho Fanya ni kutumia Jina la Simba ki biashara maana eneo ilo ame bobea.

MO alishawahi kua na Mto Singida na ikashuka daraja, MO Alisha wahi kuinunua Mbagala Market akaibadili Jina Ikaitwa African Lion na ikashuka daraja.

MO anayo fedha ya kununua timu yoyote ikawa yake ila yeye yupo kibiashara ndio maana ana itumia Simba (Bland)kwenye fursa.

Simba ikiwa inacheza na kufikia zile hatua za kukusanya mabilioni (Makundi/robo) lazima ata kua karibu na timu na yupo tayari ku aidi bonas kubwa ili wavuke hatua iyo ili aka kusanye mabilioni yake aliyo wakopesha.

MO ana bahati mbaya kwa apa ndani kwasasa kwakua mshindani wake (Yanga) Ina watu wa mpira na haitembezi Tena bakuli.
Yanga wametengeneza timu na wanajua namna ya kuiendesha timu kwa maana iyo MO sio tishio Tena kwa Yanga.
 
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
Kwani MO hakuwepo simba?

Punguza mahaba
 
Zile goli tano zilikuwa za kinunuliwa mzee mbona hilo lipo wazi...Hujuma dhidi ya Simba sc ipo kwa viongozi.
Inamaana wachezaji wa Simba wakiwa uwanjani wanazitumia akili za viongozi wa Simba? , muunganiko wake ukoje hapo naomba kueleweshwa
 
Alafu niambie majukumu ya Mangungu ni yapi na majukumu ya Mo ni yapi? Ili tunapo muandama mtu tuwe na sababu za msingi
Hili swali likamfanya mzee wa kubishana Scars akalala mbele. Ni wazi mashabiki wa Simba wanaendeshwa kwa hisia na kusambaziana chuki kwa mtu fulani bila kuchanganua mambo.
 
Back
Top Bottom