Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Mlomchagua ni nyie na umbumbumbu wenu mkaletewa Manzoki mkampa mangungu kura za ndiyo, kwani yanga ndo walimleta Manzoki acheze kwenye mkutano mkuu.
Mo anawaibia jezi zimejaa matangazo kama gazeti la sani.
Mo ameweka 20 b wapi?
Uwekezaji hewa ndo mpo mnaufurahia.
Yanga ndo waliwafanya mbumbumbu mshangilie mafanikio ya kibegi, Whatsapp group.
Mbumbumbu komaeni kiakili adui yenu ni mo , mpeni team tuwapige 8
Umepigwa knock out hadi umekimbia hoja, umeambiwa Mo alipokuwa mwenyekiti wa bodi miaka minne mlitoka kapa, leo mmesikia amerudi mmepata kihoro eti mpo upande wa Mangungu kwa vile ni pandikizi lenu
 
Na as ling as ataendelea kuwepo basi hiyo ndio furaha yenu.

Sasa sisi tunakuja kuwaonesha utofauti
Simba haiwezi kuendelea kutegemea pesa za mo kila siku ni wakati wa kutumia kile walichonacho ili timu iweze kujiendesha., viongozi kama mangungu ambao wanaopigania timu kusimama bila hisani ya watu binafsi ni wa kuungwa mkono
 
Magungu Ni kirusi ndani ya simba atokee hatumtaki,for now wanachama hawamtaki atatoka tu,mashabiki wengi wa yanga hawamtaki mo
 
Kuna tajiri anaitaka Simba.
Ila kajificha.
Usajiri walioufanya Simba hapa karibuni ni wa Kimagumashi sana.
Kama muwekezaji wetu anaona haya mambo mimi namshauri achukue B.20 yake aiache timu kwa wawekezaji wa mpira wa miguu.

Kukumbushana kila siku mambo ya B.20 nadhani wadau wa Simba wamekinahi
Bilioni 20 na iheshimiwe
 
Mwina Mohammed Seif Kaduguda. Huyu kweli msomi ana akili sana. Aliona mbali.
 
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
Mo amerudi kutoka wapi na alikua ameenda wapi? huyu si juzi tu hapo alisema ameinunua timu miaka 4 iliyo pita ina maana baada ya kuinunua alimkabidhi Mangungu? MeTL ina branches ngapi ambazo Mo hayupo huko na zina operate vizuri? Mimi ni Simba tofauti yangu na wewe ni uelewa
 
Hii dun

Najua unajua mpira vizuri sana lakini umeamua kujito tu ufahamu kwa makusudi. Simba kufungwa na Yanga au hata Mashujaa si jambo la ajabu. Lakini kupigwa kile kipigo cha mbwa koko a.k.a kono la nyani halafu Cadena anakuja sema kulikuwa na shinikizo apangwe Manula ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kwa majeruhi wewe huoni hapo kuwa kilikuwa kuna usaliti wa ndani ya Simba.
Katika zile goli 5 goli lipi unaweza kusema ni ubovu wa kipa?
 
Umepigwa knock out hadi umekimbia hoja, umeambiwa Mo alipokuwa mwenyekiti wa bodi miaka minne mlitoka kapa, leo mmesikia amerudi mmepata kihoro eti mpo upande wa Mangungu kwa vile ni pandikizi lenu
Nani alimfukuza mo pale Simba.
Mo ndo Rais wa heshima Simba unaposema hakuwepo alikuwa wap?
Mo ndo alimteua Try again Kwa maneno mengine Try again anatimiza mambo ya mo?
Mo ndo mwekezaji mkuu pale Simba na mfadhili wa team, unaposema hakuwepo alikuwa wap?
Ubwabwa mlikula na Manzoki mkamwona mkampa kura zote Mangungu Sasa Yanga walimpandikiza saa ngap?
 
Mo amerudi kutoka wapi na alikua ameenda wapi? huyu si juzi tu hapo alisema ameinunua timu miaka 4 iliyo pita ina maana baada ya kuinunua alimkabidhi Mangungu? MeTL ina branches ngapi ambazo Mo hayupo huko na zina operate vizuri? Mimi ni Simba tofauti yangu na wewe ni uelewa
Huyo ni mbumbumbu wa Rage hawezi elewa
 
Mo amerudi kutoka wapi na alikua ameenda wapi? huyu si juzi tu hapo alisema ameinunua timu miaka 4 iliyo pita ina maana baada ya kuinunua alimkabidhi Mangungu? MeTL ina branches ngapi ambazo Mo hayupo huko na zina operate vizuri? Mimi ni Simba tofauti yangu na wewe ni uelewa
Nafasi ambayo jana ametangaza kuirudia unajua alikiondoa katika nafasi hiyo kipindi gani?
 
Simba haiwezi kuendelea kutegemea pesa za mo kila siku ni wakati wa kutumia kile walichonacho ili timu iweze kujiendesha., viongozi kama mangungu ambao wanaopigania timu kusimama bila hisani ya watu binafsi ni wa kuungwa mkono
Nitajie timu iliyoweza kufanikiwa na kufikia malengo makubwa kwa kutegemea assets za Club bila mwekezaji.
 
Nitajie timu iliyoweza kufanikiwa na kufikia malengo makubwa kwa kutegemea assets za Club bila mwekezaji.
Kama hiyo team haipo basi Mangungu ataifanya iwe ya kwanza.
Mangungu ndo kila kitu simba subiri muhula wake wa uongozi iishe ugombee
 
Kama hiyo team haipo basi Mangungu ataifanya iwe ya kwanza.
Mangungu ndo kila kitu simba subiri muhula wake wa uongozi iishe ugombee
Tunatia kiberiti kichaka Chenu mlichoficha mamluki.

Endeleeni kuwasapoti tu
 
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
Anarudi kwani alieahi kujiondoa Simba?
Ninachojua alihamishia makaazi yake dubai na kuanza kupunguza baadhi ya shughuli zake nchini.
Anachokifanya Simba kwa sasa ni kutaka kuitumia kutafuta sympathy atakapoanza kunyang’anywa ardhi/mashamba aliyochukua ili kuiendeleza lakini hakiwahi kufanya hivyo. Anataka Simba wapige kelele kwa niaba yake.
Ili yote hayo ataipitisha alSimba kwenye vipindi vigimu sana huku akiweka Mazingira kuwa anapingwa. Mkija kustuka ndiyo mtagundua kwamba kumbe alikuwa anawachezesheni kama Joyce wowowo tu and Mangungu was right.
 
Nafasi ambayo jana ametangaza kuirudia unajua alikiondoa katika nafasi hiyo kipindi gani?
Bila Mo kua mwenyekiti Simba haiwezi kufanya vizuri? na kama ni hivyo Try again karudishwa kufanya nini wakati ndio katufukisha huku? hakuna kipya kitakacho tokea hapa ni siasa za mhindi
 
Anarudi kwani alieahi kujiondoa Simba?
Ninachojua alihamishia makaazi yake dubai na kuanza kupunguza baadhi ya shughuli zake nchini.
Anachokifanya Simba kwa sasa ni kutaka kuitumia kutafuta sympathy atakapoanza kunyang’anywa ardhi/mashamba aliyochukua ili kuiendeleza lakini hakiwahi kufanya hivyo. Anataka Simba wapige kelele kwa niaba yake.
Ili yote hayo ataipitisha alSimba kwenye vipindi vigimu sana huku akiweka Mazingira kuwa anapingwa. Mkija kustuka ndiyo mtagundua kwamba kumbe alikuwa anawachezesheni kama Joyce wowowo tu and Mangungu was right.
Kwani hujui kuwa alijiondoa kwenye nafasi ya uwenyekiti?
 
Back
Top Bottom