Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Mo akisema ana sajiri haonekani tatizo ila Mangungu anaonekana mbaya swali la kujiuliza mapato ya Simba yanaigia kwenye account ipi? Na hua ana andamwa ajihuzuru kwa kosa gani?
 
Mo akisema ana sajiri haonekani tatizo ila Mangungu anaonekana mbaya swali la kujiuliza mapato ya Simba yanaigia kwenye account ipi? Na hua ana andamwa ajihuzuru kwa kosa gani?
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
 
Ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Hakuna narudia tena hakuna shabiki/kiongozi wa Pan Africa akawa shabiki wa Simba kama ambavyo hakuna shabiki/kiongozi wa Red Star/Nyota Nyekunda akawa shabiki wa Yanga.

Naanza kuamini kuwa yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa huyu jamaa na baadhi ya wajumbe wa bodi wapo kwenye "payroll" ya jamaa wa upande wa pili na wanataka kumpa timu mdogo wa jamaa wa upande wa pili.

Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu
Na kipigo cha Mashujaa kilikuwa hujuma kutoka upande upi?
Ngungus Boy shikilia hapo hapo sababu unaongoza mbumbumbu wasiojitambua.
 
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
Kwani alienda wapi labda na ni lini alijiondoa 5imba?
Tupo hapa tunasubiri msimu ujao uanze halafu tuone huyo Gabachori ataifanya nini Yanga.
 
Mshaanza kupata tumbo joto kusikia Mp amerudi?

Ukishaona mashabiki wengi wa Yanga hawamtaki MO ujue hapo ndio mafanikio ya Simba yalipo.

Ili Simba ifanikiwe MO inabidi aendelee kuwepo pale
Kwani huyo alikuwa wapi?
Yanga ndo walimtoa.
Yan mo awepo asiwepo mtapigwa 8
Wacha league ianze
 
Ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Hakuna narudia tena hakuna shabiki/kiongozi wa Pan Africa akawa shabiki wa Simba kama ambavyo hakuna shabiki/kiongozi wa Red Star/Nyota Nyekunda akawa shabiki wa Yanga.

Naanza kuamini kuwa yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa huyu jamaa na baadhi ya wajumbe wa bodi wapo kwenye "payroll" ya jamaa wa upande wa pili na wanataka kumpa timu mdogo wa jamaa wa upande wa pili.

Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu
Huu ni mtazamo wangu pia. Kuna siri nzito
 
Kwa mfumo wa simba ulipofikia kwa maana ya mchakato Mo anatakiwa kushirikiana na Mangungu zaidi kuliko hata huyo try again, Kiwalisia Mangungu ndiyo Boss ila hana hela, Mo ana hela ila sio Boss anatumia influence ya fedha kujiona yeye ndiyo top.
 
Hii dun
Na kipigo cha Mashujaa kilikuwa hujuma kutoka upande upi?
Ngungus Boy shikilia hapo hapo sababu unaongoza mbumbumbu wasiojitambua.
Najua unajua mpira vizuri sana lakini umeamua kujito tu ufahamu kwa makusudi. Simba kufungwa na Yanga au hata Mashujaa si jambo la ajabu. Lakini kupigwa kile kipigo cha mbwa koko a.k.a kono la nyani halafu Cadena anakuja sema kulikuwa na shinikizo apangwe Manula ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kwa majeruhi wewe huoni hapo kuwa kilikuwa kuna usaliti wa ndani ya Simba.
 
Kama hayo maneno ni kweli kayatamka kweli basi hili wiki hamalizi akiwa mwenyekiti.
Ataendelea kuwa mwenyekiti wa Simba kwa mujibu wa katiba ya Simba, mlimchagua aongoze kwa miaka 4 na ubwabwa mlikula akawaletea manzoki yeye na Mo mkampa kura kiroho Safi Sasa mnabwata kitu Gani? Msubili miaka 4 ipite ndio atatoka na sio vinginevyo
 
Hii dun

Najua unajua mpira vizuri sana lakini umeamua kujito tu ufahamu kwa makusudi. Simba kufungwa na Yanga au hata Mashujaa si jambo la ajabu. Lakini kupigwa kile kipigo cha mbwa koko a.k.a kono la nyani halafu Cadena anakuja sema kulikuwa na shinikizo apangwe Manula ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kwa majeruhi wewe huoni hapo kuwa kilikuwa kuna usaliti wa ndani ya Simba.
Kwaiyo aliyempangia cadena kipa ni mangungu? Kwanini asiwe Mo?
 
Ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Hakuna narudia tena hakuna shabiki/kiongozi wa Pan Africa akawa shabiki wa Simba kama ambavyo hakuna shabiki/kiongozi wa Red Star/Nyota Nyekunda akawa shabiki wa Yanga.

Naanza kuamini kuwa yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa huyu jamaa na baadhi ya wajumbe wa bodi wapo kwenye "payroll" ya jamaa wa upande wa pili na wanataka kumpa timu mdogo wa jamaa wa upande wa pili.

Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu
Mlizidiwa shekhe acha kujitoa ufahamu
 
Mbona unajitoa akili! Ina maana hujui kuwa Mangungu ni mwenuekiti wa Simba SC? Mangungu anatumia nafasi yake kufanya maamuzi ya wanachama waliomchagua. Kama unampenda huyo Mo, mchukue ukanywe naye chai.
 
Kwani alienda wapi labda na ni lini alijiondoa 5imba?
Tupo hapa tunasubiri msimu ujao uanze halafu tuone huyo Gabachori ataifanya nini Yanga.
Karudi kwenye nafasi yake na amepitisha fagio katimua mamluki wenu mliyokuwa mmewapandikiza.

Na ndio maana mmekasirika na bado upande wa Kipara nako si muda watatupa taulo.
 
Back
Top Bottom