Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Bila Mo kua mwenyekiti Simba haiwezi kufanya vizuri? na kama ni hivyo Try again karudishwa kufanya nini wakati ndio katufukisha huku? hakuna kipya kitakacho tokea hapa ni siasa za mhindi
Tunapima hilo kupitia comparison kati ya kipindi ambacho alikuwa mwenyekiti na kipindi ambacho alijiondoa kwenye hiyo nafasi.

Kupitia kipimo hicho We have come to the conclusion kwamba MO akiwa mwenyekiti ndio Simba inafanya vizuri.

Lakini pia kupitia hata maoni yenu ya mashabiki wa Uto kumkataa MO ni ishara kuwa MO ndio option sahihi kwa maendeleo ya Simba.

Kwasababu there's no way Utopolo akapenda kuiona Simba ikiwa imara.
 
Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu

Kama mpaka sasa mnaamini zile goli tano zilikuwa ni za kutengenezwa basi bila shaka hamuelewi kuwa matatizo ya timu yenu ni yapi.

Kama unaamini zile goli ni za mchongo maanake moja kwa moja unakubaliana swala la kwamba wachezaji wa Simba wana viwango na ubora hivyo zile rundo la wachezaji wa kutaka waachwe muanze wimbo wa kuwatetea wabakizwe kuanzia sasa.

Kitendo cha kusema zile tano zilikuwa ni za mchongo ni kuidharau mpinzani wako na ni wazi hilo litawafanya msiamke usingizi kwa kuamini kuwa bado mna timu nzuri ila mmefelishwa na mambo ya nje ya uwanja.

Belouizdad ni timu bora Africa lakini kafungwa goli nne na timu hiyo hiyo iliyoifunga timu yako magoli matano, vipi fananisha ubora wa Belouizdad vs Simba upoje? Ingekuwa sio swala la uwezo na ubora wa Yanga, basi hata hao Belouizdad wasingefungwa magoli mengi hivyo kwenye mechi muhimu sana kwao kwaajili ya kufuzu.

Kwenye mechi ambayo Simba inashinda magoli mawili kwa bila dhidi ya Yanga msimu uliopita je Mangungu alikuwa bado hajawa mwenyekiti wenu?

Hata kwenye mechi ya 2:1 ya raundi ya pili, japo Yanga waliamua kucheza kwa ku. relax lakini wakatangulia goli mbili tena golini alikuwa ni kipa wenu bora kwasasa ( Ayoub)
 
Kwani hujui kuwa alijiondoa kwenye nafasi ya uwenyekiti?
MO ni kama Medved na Putin tu.
Hakuondoka kwenda popote pale, alimteua try again, halafu yeye akawa rais wa heshima.
Sasa hivi, Try again amemtua MO kuwa Mwenyekiti, MO na yeye kamteua Try again kuwa mjumbe.
Kwa kifupi ni Putin and Medved in Simba.
 
MO ni kama Medved na Putin tu.
Hakuondoka kwenda popote pale, alimteua try again, halafu yeye akawa rais wa heshima.
Sasa hivi, Try again amemtua MO kuwa Mwenyekiti, MO na yeye kamteua Try again kuwa mjumbe.
Kwa kifupi ni Putin and Medved in Simba.
Na ndio mfumo ulivyokuwa katkka kile kipindi ambacho Simba ilikuwa kwenye mafanikio.

Try Again hana guts za kuwa kiongozi wa juu
 
Tunapima hilo kupitia comparison kati ya kipindi ambacho alikuwa mwenyekiti na kipindi ambacho alijiondoa kwenye hiyo nafasi.

Kupitia kipimo hicho We have come to the conclusion kwamba MO akiwa mwenyekiti ndio Simba inafanya vizuri.

Lakini pia kupitia hata maoni yenu ya mashabiki wa Uto kumkataa MO ni ishara kuwa MO ndio option sahihi kwa maendeleo ya Simba.

Kwasababu there's no way Utopolo akapenda kuiona Simba ikiwa imara.
Kwa hio una amini Mangungu ndio tatizo akiondoka Simba itakua imara?
 
Kwa hio una amini Mangungu ndio tatizo akiondoka Simba itakua imara?
Uongozi mzima pamoja na bodi yake

Yeye tunamtaja sana kwasababu ni kiongozi wa juu.

Kauli yake ya juzi ya kusema pesa za usajili atatoa mfukoni mwake pamoja na kuchangisha mashabiki inatosha tu kuonesha kuwa huyu hana nia njema na Club
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Uongozi mzima pamoja na bodi yake

Yeye tunamtaja sana kwasababu ni kiongozi wa juu.

Kauli yake ya juzi ya kusema pesa za usajili atatoa mfukoni mwake pamoja na kuchangisha mashabiki inatosha tu kuonesha kuwa huyu hana nia njema na Club
Ulitaka pesa ya usajili akatoe wapi? Yeye na wanachama wa Simba na wadhamini+ mikataba ya mbet na mengineyo wanaweza...

Mudi akitoa deni linaongezeka tu, hujasikia mudi anataka ela anazotoa ziandikwe madeni na alipwe au zigeuzwe mtaji wake Simba...

Mudi kakaa ki bizness Zaidi....faida yeye tu, ila Shimbwa aitumie kutajirika tu....mhindi fala sana huyo
 
Kwani hujui kuwa alijiondoa kwenye nafasi ya uwenyekiti?
Akamuweka Swahiba wake Jaribu Tena ambae nae mnasema ni mamluki,kajiuzulu lakini MO kamrudisha tena ina maana bado ataendelea kuwa kivuli cha MO kwa shughuli zote za timu upande wa mwekezaji magumashi.
 
Uongozi mzima pamoja na bodi yake

Yeye tunamtaja sana kwasababu ni kiongozi wa juu.

Kauli yake ya juzi ya kusema pesa za usajili atatoa mfukoni mwake pamoja na kuchangisha mashabiki inatosha tu kuonesha kuwa huyu hana nia njema na Club
Vyura wanampenda kweli.
 
Vyura wanampenda kweli.
MO alitamba na Simba baada ya kumtumia Makonda kumwangamiza Manji.
MO ametamba baada ya Manji kufanyiwa fitina na mshauri wa MO ndugu Makonda na Simba ikatamba mbele ya Yanga inayo tembeza bakuli.
Kwa Sasa Yanga wapo vizuri, ata ikitokea MO aungane na Barekhsa wa Azam hawana uwezo Tena uwezo wa kuiangusha Yanga.
Swala la Makombe msahau labda Tff wafanye Yale mambo ya Tatu Malogo kule Tanga.
 
MO alitamba na Simba baada ya kumtumia Makonda kumwangamiza Manji.
MO ametamba baada ya Manji kufanyiwa fitina na mshauri wa MO ndugu Makonda na Simba ikatamba mbele ya Yanga inayo tembeza bakuli.
Kwa Sasa Yanga wapo vizuri, ata ikitokea MO aungane na Barekhsa wa Azam hawana uwezo Tena uwezo wa kuiangusha Yanga.
Swala la Makombe msahau labda Tff wafanye Yale mambo ya Tatu Malogo kule Tanga.
Yanga si sehemu ya mipango ya Simba. Hata malengo haikuwa inafanana mpaka yalipoanza mambo ya ajabu ajabu mwaka juzi.
 
Ulitaka pesa ya usajili akatoe wapi? Yeye na wanachama wa Simba na wadhamini+ mikataba ya mbet na mengineyo wanaweza...

Mudi akitoa deni linaongezeka tu, hujasikia mudi anataka ela anazotoa ziandikwe madeni na alipwe au zigeuzwe mtaji wake Simba...

Mudi kakaa ki bizness Zaidi....faida yeye tu, ila Shimbwa aitumie kutajirika tu....mhindi fala sana huyo
Kama ni jambo baya kwa Simba nilitegemea kuona ukifurahia kwasababu siku zote mashabiki wa Simba na Yanga hawapendi kuona mwenzake anakuwa imara.

Hiyo tu inatosha kuonyesha kuwa Mangungu ni kiongozi ambaye anatumika kuihujumu Simba na ndio maana wapinzani wetu hawataki kuona akiondoka.

Tunafahamu kuwa Mangungu alikuwa shabiki wa Pan African, na Pan African ilikuja kuwa merged na Yanga.

Na ndio maana mpaka leo haijulikani Mangungu ametokea tawi gani la Simba.

Wachezaji mpaka makocha wote wanasema uongozi ndio shida haiwezi kuwa coincidence kuwa wote wakaongea uongo.

Tunamtimua babu yenu na kipara chake kama Shaolin mkampe uongozi kama mlivyofanya kwa Manara.
 
Akamuweka Swahiba wake Jaribu Tena ambae nae mnasema ni mamluki,kajiuzulu lakini MO kamrudisha tena ina maana bado ataendelea kuwa kivuli cha MO kwa shughuli zote za timu upande wa mwekezaji magumashi.
Kamrudisha kwenye nafasi ambayo hana sauti.

Au umesahau kipindi ambacho MO alikuwa mwenyekiti, Try Again alikuwa ni Makamu wake?

Maana yake kuna vichwa haviwezi kushika uongozi wa juu katika level za kimaamuzi mpaka pale wanaposimamiwa yani wawe chini ya mtu ambaye atakuwa anawa manage.
 
Uongozi mzima pamoja na bodi yake

Yeye tunamtaja sana kwasababu ni kiongozi wa juu.

Kauli yake ya juzi ya kusema pesa za usajili atatoa mfukoni mwake pamoja na kuchangisha mashabiki inatosha tu kuonesha kuwa huyu hana nia njema na Club
Mbona Ahmed Ali aliposema usajiri atafanya Mo kwa pesa zake haikua shida?
 
Mbona Ahmed Ali aliposema usajiri atafanya Mo kwa pesa zake haikua shida?
Kwasababu ana hela na tayari amefanya hivyo mara kadhaa na mafanikio tumeyaona.

Kwani ulimsikia Ahmed Ally akisema MO atachangishana na mashabiki hela za usajili?
 
Kwasababu ana hela na tayari amefanya hivyo mara kadhaa na mafanikio tumeyaona.

Kwani ulimsikia Ahmed Ally akisema MO atachangishana na mashabiki hela za usajili?
Alafu niambie majukumu ya Mangungu ni yapi na majukumu ya Mo ni yapi? Ili tunapo muandama mtu tuwe na sababu za msingi
 
Back
Top Bottom