Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah wapi. Huyu alimteka mgombea ubunge wa chadema akiwa mlango wa ofisi ya mkurugenzi anataka kurudisha fomu.Hivi Kasim Majaliwa Majaliwa Alipigowa kura??
Mkuu. Umesahau Yale matunguli na Lile jopo la waganga waliomgangua akiwa uchi akaganguka mpaka wapinzani fomu hawakuziona.Aisee hadi Kigwangala na u-much know wote ule ila akaogopa kuingia kwenye sanduku la kura
No wonder why CCM hawataki katiba mpya.Hivi huwa unalipwa kuandika huu ujinga ?
Hii lugha jumuishi umemuuliza baba yako,mama ,shangazi ,mtoto, rafiki ,mke wakasema wanahitaji katiba mpya? ,acha kuwalisha watu takwa lako ukasema letu ,mbona Mimi sihitaji hiyo katiba mpya na ni mtanzania kweli kweliMihemko ya chama hiyoo mkuu, katiba mpya ni ya watanzania wote, ila kwa nyie mliopo kwenye system ndo mnaipinga kutetea ugali wenu.Aibu
mbona katiba ya sasa imewakataa na hujafanya kitu?Wabunge 19 wasio na chama na Wabunge 18 waliopita bila kupingwa.
Ibara ya 66; Kutakuwa na aina zifuatazo za wabunge,
1. Wabunge wa kuchaguliwa majimboni.
2. Wabunge wanawake wa viti maalumu.
3. Wabunge wa kuteuliwa na rais.
Hao wasio na vyama na waliopita bila kupingwa wameandikwa kwenye Ibara gani.
Hivi siku mgombea urais akibaki peke yake uchaguzi hautafanyika? yaani hatutampigia kura ya NDIO au HAPANA? na automatically NEC itamtangaza kuwa Rais?
Ndio maana sisi wengine tunapodai Katiba mpya muwe mnatuelewa ni pamoja na kuondoa utata kama huu.
===============
Wabunge waliopita bila kupingwa.
1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
16. Butiama - Sagini Abdallah
17. Misungwi - Alexander Mnyeti
18. Bumbuli - January Makamba
Sio lazima hadi watanzania wote wakubali ndio katiba iandikwe.Hii lugha jumuishi umemuuliza baba yako,mama ,shangazi ,mtoto, rafiki ,mke wakasema wanahitaji katiba mpya? ,acha kuwalisha watu takwa lako ukasema letu ,mbona Mimi sihitaji hiyo katiba mpya na ni mtanzania kweli kweli
Si lazima mfanane- kila mtu ana NIDA yake.Duh? Topic umeielewa lkn?
Kila mmoja ana wajibu na sehemu yake ya kuilinda katiba, rais ana sehemu yake wabunge wana sehemu yao na mwananchi wa kawaida kama mimi nina sehemu yangu, ile kuonyesha tu kuwa katiba imevunjwa nimetimiza wajibu wangu wa kuilinda.mbona katiba ya sasa imewakataa na hujafanya kitu?
Tunazungumzia katiba ya nchi, ya Chadema waachie Chadema wenyewe kwa sababu wamekubaliana hivyo.Topic inayohusu uvunjaji wa katiba mbovu na isiyo na meno ya Chadema?
kwamba kila mtu aweza kuivunja na asiadabishwe,?
Kwahiyo unashauri Nini?
Sasa mbona hao COVID-19 nap watashiriki kuiandika?Katiba mpya
Katiba mpya huwa inaandikwa na Bunge Maalumu siyo lazima wawe wabunge wa bunge la kawaida.Sasa mbona hao COVID-19 nap watashiriki kuiandika?
Lete kifungu cha katiba kinachosema katiba haijavunjwaHakuna katiba iliyovunjwa
Soma mada tena uielewe.Yule mbunge mwengine wa Chadema mbona hatajwi?
Mada nimeilewa.Soma mada tena uielewe.