Kuna Wabunge 37 ‘haramu’ bungeni ambao hawatambuliwi na Katiba

Kuna Wabunge 37 ‘haramu’ bungeni ambao hawatambuliwi na Katiba

Kwani mantiki inayopelekea watu kupiga kura ni ipi? Kura inapigwa ili kuthibitisha mgawanyiko wa mawazo ya wapiga kura juu ya mgombea au wagombea wao. Kama mgawanyiko wa mawazo kwa wapiga kura haupo, kupiga kura kunakosa mantiki na kinakuwa ni kitendo cha kupoteza muda na rasilimali za wapiga kura.
kwa hiyo, waliostahili kuiga kura wanakuwa wameamua kitu fulani kifanyike na hicho ndicho kinachopelekea ushindi wa mpigiwa kura. Wapiga kura wanaamua kitu "mbadala wa kupiga kura" ambacho kinapelekea mgombea kupita. Kwa hiyo si kila mara zote mtu anapita kwa kupigiwa kura kwenye ballot box
Kura hazipigwi kuonyesha mgawanyiko bali support na trust ya wananchi kwa mgombea, unaweza ukasimikwa na utawala kwa nguvu lkn ukakosa ushirikiano toka kwa wananchi.
 
Kura hazipigwi kuonyesha mgawanyiko bali support na trust ya wananchi kwa mgombea, unaweza ukasimikwa na utawala kwa nguvu lkn ukakosa ushirikiano toka kwa wananchi.
Wagombea wako wawili, kundi moja linamu-support mgombea A na kundi jingine tena mgombea B. Huu siyo mgawanyiko?
 
Na nchi imetuliiiia tuliii...!

Chadema walivyotegemea imekuwa siyo hadi hawaamini, Walitegemea wananchi wataandamana, haikuwa hivyo,

Wakataka kutisha tisha, sijiu twende Mahakama ya MIGA, wengine wakasema twende kwa Amsterdam, kote huko hakuna kitu,
Wakapanga njama ya kuhujumiana wao kwa wao, kuteua wabunge halafu wakatae kwamba hawakuteua wabunge ili labda mabwana zao waingilie kati nchi yetu, nalo sasa wameaibika wenyewe,

waliochaguliwa kwa agenda ya kuchafua bunge, wenyewe wapo bungeni wanakula posho na mishahara kibao, sasa inawauma walioko nje!

Eti mnadai katiba, ili iwe nini sasa na wakati katiba ndoogo mliyonayo inavunjwa na viongozi wenu na bado mna kenua meno tu
Mtu amewekwa magereza kwa siku 414 kwa kubambikiwa kesi ya madawa ya kulevya, unaachiwa na unaambiwa huna hatia hukutenda kosa lolote! Mlitarajia aongee lugha ya kusifu watesi wake.? Nyani ni walewale wala mahindi shambani. Umewafumania, wakiwa shambani wanakimbia ukaua Kiongozi wao, baadae wanateua nyani mwingine toka kundi hilohilo kuwa kiongozi, Safari hii jike. Ndio Wataacha kula mahindi shambani??. Hakuna kucheka na nyani tutavuna mabua. Hapa ni kuwakimbiza tuu speed 300/hr kwa silaha yoyote mpaka wakome kula mahindi shambani. Mdude katumia lugha nyepesi sana. Mbona katoa tu mfano wa kweli wa Rais mwanamke Banda alietawala baada Kifo cha Rais Mutharika. Wahafidhina walimshauri vibaya na kura ilipokuja alinyolewa. Tuwe wakweli.
 
Mtu amewekwa magereza kwa siku 414 kwa kubambikiwa kesi ya madawa ya kulevya, unaachiwa na unaambiwa huna hatia hukutenda kosa lolote! Mlitarajia aongee lugha ya kusifu watesi wake.? Nyani ni walewale wala mahindi shambani. Umewafumania, wakiwa shambani wanakimbia ukaua Kiongozi wao, baadae wanateua nyani mwingine toka kundi hilohilo kuwa kiongozi, Safari hii jike. Ndio Wataacha kula mahindi shambani??. Hakuna kucheka na nyani tutavuna mabua. Hapa ni kuwakimbiza tuu speed 300/hr kwa silaha yoyote mpaka wakome kula mahindi shambani. Mdude katumia lugha nyepesi sana. Mbona katoa tu mfano wa kweli wa Rais mwanamke Banda alietawala baada Kifo cha Rais Mutharika. Wahafidhina walimshauri vibaya na kura ilipokuja alinyolewa. Tuwe wakweli.
100% leo nimekutana na Mdude hapa!

Wewe ni mnywa gongo na mla bangi no moja, mtu mwemye akili, hizo siku 414 angezitumia kujisuka na kujiimarisha kisiasa ili badaye awe anapotakiwa, kwa sababu wewe ni fyatu, basi unafyatuka tu bila kupima usemacho kama kitakuletea madhara badaye!

Jinga sana wewe
 
100% leo nimekutana na Mdude hapa!

Wewe ni mnywa gongo na mla bangi no moja, mtu mwemye akili, hizo siku 414 angezitumia kujisuka na kujiimarisha kisiasa ili badaye awe anapotakiwa, kwa sababu wewe ni fyatu, basi unafyatuka tu bila kupima usemacho kama kitakuletea madhara badaye!

Jinga sana wewe
Jinga wewe na wa kwenu wote. Wewe si unasimamia tumbo lako ndio maana umepigwa upofu wa ubongo hujui jema na baya. Utavuna ulichopanda. Aliekupa hicho kichwa yupo wapi? Angalia wenzako Arusha kinachowakuta. Munio.
 
Jinga wewe na wa kwenu wote. Wewe si unasimamia tumbo lako ndio maana umepigwa upofu wa ubongo hujui jema na baya. Utavuna ulichopanda. Aliekupa hicho kichwa yupo wapi? Angalia wenzako Arusha kinachowakuta. Munio.
Kwanza kabisa sjawahi kujuta, mjinga kumwita mjinga..! sijawahi kabisa kujuta, Wewe ni mjinga na pumbavu, Na usipojirekebisha mjinga wewe kwa matusi yale kutukana viongozi, bado hujamalizana na magereza pumbavu wewe
 
Huyo Ahmed shabiby mbona ni bonge la mbunge....alafu wanalikubali sana wanaGAIRO, limewaletea maendeleo makubwa....Au ni uongo!!
 
Kikwete aliporuhusu kuandikwa kwa katiba mpya 2014 kuna mtu aliandamana.
Kama Rais mwenye maono aliona ni wakati sahihi kuanzisha mchakato wa Katiba mpya kwa kusikiliza maoni ya wananchi.

Nikukumbushe tu. Yaliyoandikwa kwenye rasimu ya tume ya Warioba ni mapendekezo ya wananchi na sio ya CHADEMA wala wapinzani tu.

Ila CHADEMA wanapolazimisha Katiba mpya wanayoitaka wao wananchi tuitafute kwa jasho na damu kwa ajili ya kuwanufaisha wao wanakosa sapoti ya umma.
 
Watu bana 🤣🤣🤣 yaan mleta mada kaweka na vifungu vya sheria kbs, still huon
Hakuna kifungu pale

Kupita bila kupingwa hakujaanza Leo

Ukikosa mpinzani Haina maana hujashinda

Mna mawazo vimini
 
Uchaguzi gani bila Katiba na tume huru! Mungu kaondoa jitu, ili wajifunze kuheshimu wananchi, wakikomaa Mungu anarudi.
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Mungu Ni Fundi
Mungu Anajua
Hata Ccm Inajua Kuwa Kiburi Kibaya
 
Angalia vizuri bandiko langu. Nimetaja hayo mambo ambayo yanaweza kumshawishi mwananchi wa kawaida kuingia barabarani.

Suala la katiba limekaa kisiasa. Na ipo siku vijana watafanya reformation kwa sababu ya kuwachukia wanasiasa (wote).
Hicho unachokiita katiba ya kisiasa(tume huru,siasa safi na demokrasia,maandamano nk) kama vikiwepo maana yake kutakuwepo na sheria zinazomuhusu mtanzania wa chini kama ilivyoada ili pale mahitaji hayo ya muhimu yatakapokanyagwa na watawala wananchi watakuwa huru kupinga

Sasa hiyo katiba unayoiita ya kisiasa isipokuwepo unadhani mtanzania yupi atakayekuwa na ubavu wa kusimama kinyume na watawala??
 
Wabunge 19 wasio na chama na Wabunge 18 waliopita bila kupingwa.

Ibara ya 66; Kutakuwa na aina zifuatazo za wabunge,

1. Wabunge wa kuchaguliwa majimboni.
2. Wabunge wanawake wa viti maalumu.
3. Wabunge wa kuteuliwa na rais.

Hao wasio na vyama na waliopita bila kupingwa wameandikwa kwenye Ibara gani.

Hivi siku mgombea urais akibaki peke yake uchaguzi hautafanyika? yaani hatutampigia kura ya NDIO au HAPANA? na automatically NEC itamtangaza kuwa Rais?

Ndio maana sisi wengine tunapodai Katiba mpya muwe mnatuelewa ni pamoja na kuondoa utata kama huu.
===============

Wabunge waliopita bila kupingwa.

1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
16. Butiama - Sagini Abdallah
17. Misungwi - Alexander Mnyeti
18. Bumbuli - January Makamba
Mchonga hakuwa na wapinzani lakini bado alipigiwa kura
IMG_20210706_185647.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom