Kuna Wabunge 37 ‘haramu’ bungeni ambao hawatambuliwi na Katiba

Hivi Kasim Majaliwa Majaliwa Alipigowa kura??
Aah wapi. Huyu alimteka mgombea ubunge wa chadema akiwa mlango wa ofisi ya mkurugenzi anataka kurudisha fomu.

Akatuma watu waliojitambulisha kama maaskari na kuanza kumpiga mgombea wa chadema mbele ya mkurugenzi.

Wakamnyang'anya fomu na kumfungia chumbani next to the ofisi ya mkurugenzi. Halafu wakamwachia muda ukiwa umeisha.

Nadhani unakumbuka waliweka siku ya kurejesha fomu ilikuwa moja .

That man is an animal.

Nina pdf ya maovu yake yote huyu jamaa.
 
Aisee hadi Kigwangala na u-much know wote ule ila akaogopa kuingia kwenye sanduku la kura
Mkuu. Umesahau Yale matunguli na Lile jopo la waganga waliomgangua akiwa uchi akaganguka mpaka wapinzani fomu hawakuziona.
Yeye Ni Kati ya ma dokta wanaoamini uchawi na waganga wa kienyeji. Humkosi na hirizi inayomlinda popote anapokwenda.
 
Mihemko ya chama hiyoo mkuu, katiba mpya ni ya watanzania wote, ila kwa nyie mliopo kwenye system ndo mnaipinga kutetea ugali wenu.Aibu
Hii lugha jumuishi umemuuliza baba yako,mama ,shangazi ,mtoto, rafiki ,mke wakasema wanahitaji katiba mpya? ,acha kuwalisha watu takwa lako ukasema letu ,mbona Mimi sihitaji hiyo katiba mpya na ni mtanzania kweli kweli
 
mbona katiba ya sasa imewakataa na hujafanya kitu?
 
Hii lugha jumuishi umemuuliza baba yako,mama ,shangazi ,mtoto, rafiki ,mke wakasema wanahitaji katiba mpya? ,acha kuwalisha watu takwa lako ukasema letu ,mbona Mimi sihitaji hiyo katiba mpya na ni mtanzania kweli kweli
Sio lazima hadi watanzania wote wakubali ndio katiba iandikwe.
 
mbona katiba ya sasa imewakataa na hujafanya kitu?
Kila mmoja ana wajibu na sehemu yake ya kuilinda katiba, rais ana sehemu yake wabunge wana sehemu yao na mwananchi wa kawaida kama mimi nina sehemu yangu, ile kuonyesha tu kuwa katiba imevunjwa nimetimiza wajibu wangu wa kuilinda.
 
Ndugai amelinajisi Bunge muda mrefu tu tangu 2015 hadi sasa hakuna Bunge ni wachumia tumbo wamejazana mule....wapitishe milele hadi iwe life sasa nashangaa kazi imerahisoshwa wao bado wapo kwa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…