Vyote vina shida ndio maana kuna uhitaji wa katiba mpya...Kwahiyo tatizo sio katiba mkuu
Because with the same constitution tulipiga kura ya ndio au hapana
Mtarudi tu marikiti
Shida ni watawala na sio katiba
Wapi Chadema wamesema wanalazimisha katiba wanayoitaka wao, usipotoshe.Kama Rais mwenye maono aliona ni wakati sahihi kuanzisha mchakato wa Katiba mpya kwa kusikiliza maoni ya wananchi.
Nikukumbushe tu. Yaliyoandikwa kwenye rasimu ya tume ya Warioba ni mapendekezo ya wananchi na sio ya CHADEMA wala wapinzani tu.
Ila CHADEMA wanapolazimisha Katiba mpya wanayoitaka wao wananchi tuitafute kwa jasho na damu kwa ajili ya kuwanufaisha wao wanakosa sapoti ya umma.
Unalinganisha katiba ya nchi na takataka za kura ya maoni.Mbatia apita bila kupingwa kura ya maoni Vunjo.
Hi, I`m Sostenes, Electrical Technician and PLC`S Programmer. Everyday I`m exploring the world of Electrical to find better solution for Automation.sosteneslekule.blogspot.com
Ni kweli mkuu kwa sababu inawalinda wanapofanya uhalifuNo wonder why CCM hawataki katiba mpya.
2018 wahuni kina Ndugai walishaupiga pini huo mwanya kwa kufanya marekebisho kwenye sheria, watu wangekuwa walishajitokeza siku nyingi tu.Watetezi wa katiba wakafungue kesi mahakamani kuhoji uhalali wa hao wabunge.
Haijaanza leo! Well sheria inasema hivyo au ni desturi?Hakuna kifungu pale
Kupita bila kupingwa hakujaanza Leo
Ukikosa mpinzani Haina maana hujashinda
Mna mawazo vimini
Bunge lifutwe.Halin msaada kwa walala hoi.Asilimia kubwa ya wabunge kwa sasa hawakutokana na kura za wananchi bali ni matakwa ya TUME ya uchaguziKwahiyo unashauri Nini?
The two are inseparable!Wewe unaita mgawanyiko mimi naita support.
Umeshawahi kuwaza haya ukiwa sober?Bunge lifutwe.Halin msaada kwa walala hoi.Asilimia kubwa ya wabunge kwa sasa hawakutokana na kura za wananchi bali ni matakwa ya TUME ya uchaguzi
Sijanywa K- Vant leo.Nipo sober.Nipo huku Temeke WailesUmeshawahi kuwaza haya ukiwa sober?
Mtu mweusi ni Kima aliechangamka.Imagine CCM wanatumia zile ndege za serikali katika shughuli zao za kila siku za kichama kana kwamba ni mali ya chama!
View attachment 1844491View attachment 1844492
Nashauri wenyeviti wa vyama wasiwe walevi.Kwahiyo unashauri Nini?
Pia siyo lazima Hadi wakatae ndiyo katiba isiandikwe upya, Mimi peke yangu nimekataa inatosha.Sio lazima hadi watanzania wote wakubali ndio katiba iandikwe.
Morogoro ukiwapa bure bus maalum kwa ajili ya kwenda kuzika wapendwa wao wanakuteua uwe mbunge wao wa maisha.Hivi kwa hayo majimbo ya mkoa wa Morogoro inakuaje mtu anapita bila kupingwa??
Je ni sababu tosha kwa mkoa huo kutoendelea?
Yani majimbo 5 yote hakuna watu mbadala?
Kiukweli ule uchaguzi ulitawaliwa na kila aina.ya rafu mkuu toa hata kidogo tumjadiliAah wapi. Huyu alimteka mgombea ubunge wa chadema akiwa mlango wa ofisi ya mkurugenzi anataka kurudisha fomu.
Akatuma watu waliojitambulisha kama maaskari na kuanza kumpiga mgombea wa chadema mbele ya mkurugenzi.
Wakamnyang'anya fomu na kumfungia chumbani next to the ofisi ya mkurugenzi. Halafu wakamwachia muda ukiwa umeisha.
Nadhani unakumbuka waliweka siku ya kurejesha fomu ilikuwa moja .
That man is an animal.
Nina pdf ya maovu yake yote huyu jamaa.
Watalazimisha katiba wasioitaka wao?Wapi Chadema wamesema wanalazimisha katiba wanayoitaka wao, usipotoshe.