Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Endeleeni kujidanganya.
 
Mkuu, kama tyr kaingia kwenye mfumo ishi nae tu. Af ukizingatia kaletwa na mungu kabisa na ndugu yake kakuachia,. Bahati hazijirudii ila kumbuka unaweza kuwa umechezewa mchezo, hilo nalo lipo
Asante kwa ushauri mkuu, nitakuwa muangalifu sana.
 
Ubarikiwe sana mkuu.
 
Asante sana kwa ushuhuda huu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…