Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Bro piga goti sali umuombe Mungu. Kama kweli kakupa huyo awe mkeo utaona ishara. Usiangalie mazingira uliyomkuta wewe angalia future yako. Mi wangu alinikuta kwenye kibanda nauza nikamsindikiza sehem aliyokuwa anaulizia mpaka leo ni mke mwema sana kanizalia watoto wanne warembo nashukuru sana Mungu kwa hili.
 
Duh.. I am speechless.
 
Ngoja awe kitengo sawa na Muuza madafu 😂😂 hawakosi kisa cha kuingilia mjini
 
Unafanya kosa la kiufundi kwa kutoingia "studioni" mpk Sasa. Ingia haraka sana ili uone kama yaliyomo yamo. Unaweza kukuta studio imetumika sana mpk imebaki kuwa pango la UTI
[emoji23][emoji23][emoji23] pango la UTI tena
 
Vile ulivyoanza msufia tu nikajua kwisha habari.
One man down
Mkuu ulishamtamani
Hapo huambiwi na hata ukiambiwa hutosikia

Nakwambia sasa
Achana na huyo muuza bar atakuletea tabu mbeleni
Achana na huyo aloachana na mme wake atakuletea tabu mbeleni
Duh [emoji848][emoji848]
 
Nimekuelewa sana mkuu.
 
Duh, asante kwa ushauri mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama amefufuka tena
 
Asante sana baharia mwenzangu [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…