Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Nimekusoma sana mkuu. Nashukuru.
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Barikiwa sana mkuu.
 
Mkuu hata wema wana nafasi ya kuuza baa sio waivu tu. Tena huko ndiko unaweza kupata mwanamke material kwa kuwa wanajua uchungu wa maisha kuliko hawa wapuuzi na vilaza wa geti kali na waliomo kwenye ulokole. Hawa wanakuwa wametumika sana na tayari wameishajikatia tamaa ya maisha.
 
[emoji848][emoji848]

Duh mkuu umenitafakarisha sana.
 
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu.
 
Usidhani mwanaume alieshindwana nae alikuwa mjinga, you are about to find out that hakuwa mjinga. Wanawake pasua kichwa sana hawa. Utakuja kutusimulia tu
 
Wanaume hatu tumia emotion kufanya maamuzi .naona ndugu yetu usha jazwa emotions kua makini
 
Duh si mchezo. Asante kwa ushuhuda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…