Wewe hakuna cha mahubiri hapo, ni malaya tu na wewehuwa nawachukulia hivyo na wale wa salon za kiume. najua tu amevaa vibaya hapendi ila maisha yamemfikisha hapo. sijawahi kuacha kuwapatia walau alfu 5 ya soda wakimaliza kazi. zamani nilidhani ni ndogo nikaja gundua wakiniona wanagombania kabisa, wanajua tayari lunch siku hiyo wamepata. huwa naandaa kabisa bajeti nikitaka kwenda kunyoa. nafanya hivyo kwa upendo tu na mahubiri wanapata vilevile.
[emoji28][emoji28][emoji28]Situation kama yako hii wakati nikiwa chuo nilikua naingia room alone nafumba macho halafu nasema hivi"Baba kama ndio huyu naomba iwe kama siyo muondoe kwenye maisha yangu na fikra zangu kabisa""
Aiseh nilipoteza visu vingi Kwa style hiyo,siku nilipokutana na huyu niliomba Ivo Ivo aiseh ikawa kinyume chake nikajue ni yeye Baba kamleta!!
Lakini Sasa naambiwa Kuna mwingine anakuja coz huyu nilipomfikisha panatosha anataka kujitawala !!na mimi napokea eeh Baba!!namtaka yuleee nadhani unajua!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Aoe
Aoe mara ngapi? Taarifa nyeti ametuficha
Wageni kwenye game hawa, hahaHapo ulikuwa unalengeshwa kwenye mfumo!hizo ni mbinu tu wanatumia kupata madanga ya kudumu!
Nimejifunza kitu kikubwa sana kutokana na huu uzoefu wako mkuu.Sehemu inavyowachukulia wahudumu wa bar inaonesha mengi kuhusu maadili ya sehemu hiyo. Na mengine ni matatizo ya umasikini na ujinga tu.
Habari kama hizi zinanikumbusha mtoto mmoja Italian American nilifanya naye kazi hapo Wall Street, New York, New York. Mtoto kakaa kama Julia Roberts, aki smile unaweza kusahau kazi ukawa unamuangalia tu, mtoto mcheshi, mtoto anatoka familia bora baba yaje alikuwa mkurugenzi mmoja mkubwa katika benki mashuhuri.
Licha ya yote hayo, huyo Julia lookalike alikuwa mcheshi sana. Sasa kila Ijumaa ilikuwa tunaulizana mipango ya weekend imekaaje? Siku moja akaniuliza, nikamwambia mipango yangu. Nikamuuliza na yeye, atafanya nini?
Jibu alilonipa lilinishangaza sana kwa binti ambaye nilimuweka matawi ya juu kama yeye. Aliniambia atakuwa anahudumia katika bar (bartend). Nikashangaa sana, mtoto mzuri, mwenye elimu, aliyetoka familia bora kama huyu anaenda kuwa barmaid tena?
Akanifafanulia zaidi, akasema huwa anafanya hivyo mara nyingi, bar yenyewe baba yake ni kati ya wanaoimiliki, halafu watu wanaokuja ni kama wanajuana wote, na kisha, anaipenda hiyo kazi kwa sababu anapata ku interact na watu sana na kumix vinywaji, zaidi, anapiga hela ndefu sana kwenye tips (huku kila mtu anayehudumiwa analipa bakhshishi/tip kwa mhudumu). So akasema huwa anapata mpaka dola za Kimarekani 500 kwa usiku mmoja kutokana na tips hizo.
Nikipata somo kubwa sana kwamba inawezekana kwa mwanamke mwenye heshima zake, mzuri, kijana, anayefanya kazi Wall St., anayetoka familia bora, akafanya kazi ya uhudumu wa bar, bila kuonekana malaya.
Nilijifunza pia kuwa wenzetu wanaheshimu sana kazi, yani huyu dada hakuona haya kusema kuwa yeye anafanya uhudumu bar, aliona fahari kuwa anafanya kazi, anatumia ujuzi wake wa ku mix vinywaji, anafanya kazi inayompa social interaction nzuri kwa family and friends, na anapata kipato kizuri cha ziada.
Na zaidi, nilijifunza kuwa wanaume wanaweza kwenda bar na kuwaheshimu wahudumu kwa kunywa vinywaji vyao bila kuwabugudhi wahudumu, na zaidi, kwa kuwapa tips nzuri tu zitakazoonesha wanathamini kazi zao.
Je, na sisi hatuwezi kuweka jamii inayojali kama hivi?
[emoji28][emoji28]Nipe namba zake huyo wife material
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu inaonekana umempenda huyo bar maid, na kama hujampenda basi nipasie mie uyo zombie mwenzangu aje tunyonyane damu
[emoji1666]Ndoa zote ni game of chance, hakuna tofauti kabisa na betting.
Mambo kwenda kombo au kunyooka ni swala la bahati sana halina uhodari!! Ninachojaribu kuelezea hapa ni kwamba Kuna nafasi zinakuja mara moja tu katika maisha usipotumia akili yako haiji tena hiyo nafasi.
Kujuana kwenye mahusiano haina guarantee yoyote kama mtadumu.
[emoji1666]Ukweli ni kwamba wanawake wengi wanaolewa wakiwa wana mahusiano mengi Sana yaliyopita, Kwa wanawake mahusiano yaliyopita huwa wanapona ngumu sana kuelezea maana inakuwa ni aibu kwao.
Mdau ni muhanga wa kuongea ukweli, kitu ambacho wengi wetu hatupendi na tunapenda kufunika..
[emoji23][emoji23]Mliendelea kuitana KAKA na MAMA baada ya sufuria kuwa nyeupe kama theluji?
[emoji1666]Atutakiwi kuhukumu yeyote yule. Maana Mungu aliyemuumba anaweza mbadilisha either kuwa mtu mwema au kuja kuwa mtu mbaya. Mimi na wewe ni nani ata tuhukumu kuwa huyu dada awezi badilika??Matayo 7:1
Asante kwa kutuletea uzoefuKwa uzoefu wangu kama mnywaji na mmiliki wa grosare NAKAZIA HAPA
Ndo ukweli mtu akiwa anamzungumzia mtu kuwa nakin na maneno yake utagundua kitu mapema.Duh [emoji848][emoji848]
[emoji1666]Kujuana labda kwa majina.
Lakini rangi halisi ya mtu huonekana baada ya kufunga ndoa.
Haya ya kujuana hayana uhalisia wenye manufaa.
Ndiyo maana vijana wengi wanaofeli kwenye ndoa, walikaririshwa hili.
Maana kujuana wengine wanachukulia kama kuishi na msichana ili kumuelewa background zake, ama 'kuonja mapishi' nk nk.
Kumbe hayo yote hupelekea saazingine kufubaza muhu wa kijana kuendeleza mchakato wake wa kufunga ndoa na msichana huyo na kuendelea kuangalia pengine.
Na 'kujuana' huko unakokusema kumebeba mambo mengi sana ambayo mengine hata wewe uliyelisema hili neno huyajui.
Kuna mila moja ya kwetu ambayo ikitumiwa kama shamba darasa itawavusha vijana wengi.
Ni kwamba: ukishamtamani msichana, ukamtongoza kwa nia ya kumuoa, akakukubalia na kisha ukaenda kwao kueleza nia yako kwa wazazi wake.
Wazazi watafanya utafiti kuhusu nasaba yako, kisha wakiridhia utaenda kupata jibu la go ahead na kutoa kishika uchumba.
Baada ya hapo ni mshenga pekee atakayewasiliana juu ya mahari na mipango ya ndoa na tarehe ya harusi.
Ni mwiko kijana kumzoea ama kulala na mchumba'ake kabla ya ndoa.
Haya yote yakizingatiwa yanalinda sana hadhi za wasichana.
Ndiyo maana nimetoa hoja kwamba kufahamiana ama kujuana saana kabla ya ndoa hakuleti afya.
[emoji1666]U
Una utibitisho kuwa huyo dada ni Nungaembe?? Wanaume wengi ni women abusers , sishangai kuona single and divorced mothers , ata wewe inaonekana unaweza kukontrol ndugu/mtoto wako aoe nani[emoji24]upo una taka dunia yote ifuate unavyotaka wewe! Kuuza bar sio Umalaya na wala sio kuwa kila muza bar yupo anajiuza. Mimi ni kaka na mzazi sijawia ingilia mausiano ya ndugu wala mtoto wangu na sintopoteza muda katika hilo wapo free kuoa au kuolewa na wamatakae. Na iwapo wataachana na wenziwao nawapa ushauri na kuwatuliza.kuna watu nawajua mama zao walikuwa wauza bar wakaolewa wakazaliwa na sasa ni watu mashuhuli na wema kabisa hapa Tanzania. One of the biggest person na maharufu na ameliletea taifa la TZ sifa kubwa kwa utendaji wake wa kazi hapa TZ ameo former bar maid na wapo mpaka leo. Kama mke na mume na wana wajukuu. Wewe ishi kwa kukariri
Umesema kila kitu mkuu.H
Hauko sahihi na hujui shida. Kuna msemo mwenye shida ni hanithi hata kama rijali.
Ikiwa na shida kazi ya baa utafanya na sio hiyo tu hata zingine zisizofaa kama kazi za ndani ( house girl). Huyo binti kufanya kazi baa haimaanishi hafai anaweza kufaa muhimu endelea kumchunguza.
Na nikuambie kitu kama ingekuwa sio shida za kiuchumi au tamaa za vitu wanawake ingekuwa nguma sana kuwapata.
[emoji28][emoji28]Nakazia
Namba tena [emoji28][emoji28]Acha Wenge,
Analysisi ya siku 1 au 2 au wiki haitoshi kujustify kuwa flani ni Mke mwema
Aliyokuambia yote umeyaamini? Kama ana mtoto alimuacha kwao utajuaje?
Amewaambia Washkaji wangapi? Mbona hawajamchukua?
Btw, nitumie namba yake nithibitishe uyasemayo
Dunia hadaa
[emoji23][emoji23]Naomba hii comment iwekewe lamination