Kabisa mkuu na wale watoto walikua ni fimbo hatari, halafu smart kichwani.Sema kama ni mwanaharakati huwezi pita pale usimwagie ndani hata mtoto Moja wa pale kandoto😂wao wenyewe wanaonaga kama sifa kua na mshkaji kule uboyzn
Mbona ndogo sana kumuuza ndugu yangu fanya hata ya jogoo mmoja basi.Muuze bei ya kitimoto kilo 1
Sawa muuze☺️Mbona ndogo sana kumuuza ndugu yangu fanya hata ya jogoo mmoja basi.
Lete account ya bank nikiuza nitume chequeSawa muuze☺️
Naijua hiyoooLete account ya bank nikiuza nitume cheque
Ipi sasa itume PM wasije kudukua muamala ukasanywa na mapinjiiNaijua hiyooo
Pm funguo imepoteaIpi sasa itume PM wasije kudukua muamala ukasanywa na mapinjii
Najua. Ila kuna master keyPm funguo imepotea
Ngoma kali sana ile, ilikuwa Kampeni ya Ishi (Ishi Campaign)nakumbuka ile waliyo imba kina stara thomas na wenzake.. ila inasema..
usione soo sema nae...
Ndio ipi hiyoNajua. Ila kuna master key
Unaijua asilimia 80 lakini?Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.
Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
Hutaweza ijua coz you are still naive.Ndio ipi hiyo
Mkuu wangu hata mimi nilishangazwa kama wewe aseeUnaijua asilimia 80 lakini?
80%
Uongo wa wazi kabisa.
Isikutishe "Research" iliyochapishwa na "Journal kutoka Marekani". Ndio maana mods wamepita na uzi.
Watu waache utoto katika mambo serious.
Hilo tangazo nafikiri lilikuepo channel 10 miaka ya elf 2 mwanzoni, mida ya jioni, tena baada ya katuni kuomyeshwa, nafikiri lilikuwa lina-sound kama hivi 😁 jerryempireNATOA 10K KWA MTU ATAKAE NITUMIA TANGAZO LA UKIMWI KWENYE MIAKA YA 2003+ AMBALO LINAFANYIKA KANISANI HUKU MTOTO ANAZALIWA NA KUBATIZWA KANISANI NA MWISHONI KABISA MILANGO YA KANISA INAFUNGWA.
NALITAKA LILE LAKINI KIINI NI ILE SOUND/AUDIO ILIYOTUMIKA NDO NAITAKA HASWA COZ NI MPENZI WA SOUND ZA VILE MNO REFER SOUND ZA TBC ZILE ZA SALAMU ZA KIFO
Maisha yanaenda kasi sana saiv ishakua historia, wapo na maisha yao huko we upo na ephen_ mnayapaliliaKabisa mkuu na wale watoto walikua ni fimbo hatari, halafu smart kichwani.
Mi naona mmekua marafiki wema tu, kama kuna kingine Mungu abarikiDuh! Hamna kitu kama hicho
Kwani nyie mnaona nini 🤔
Utagundua humu pia kuna trending ya urafiki, kesho unaweza usituoneMi naona mmekua marafiki wema tu, kama kuna kingine Mungu abariki