Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Hii naweza kuikubali mkuu, kuna kijiwe kimoja nilishapiga stories kuhusu ukimwi na masela kila mtu alinishangaa ninavyo uchukulia ukimwi , mmoja akavunja ukimya akaniuliza kwani wewe hauna ukimwi?
hii ishu iliwahi nikuta migodini chunya huko,..watu tunaishi nao kambini, kumbe vidonge wameficha vichakani huko😥😥🥲
 
hii ishu iliwahi nikuta migodini chunya huko,..watu tunaishi nao kambini, kumbe vidonge wameficha vichakani huko😥😥🥲
Vijana wengi hasa wa sasa wanauchukulia ukimwi poa sana ,na wengi wanakufa inasingiziwa sukari na pressure japo ni kwel ukiwa na HIv unashambuliwa na magonjwa mengi , ila chanzo wengi ni HIV.
 
Vijana wengi hasa wa sasa wanauchukulia ukimwi poa sana ,na wengi wanakufa inasingiziwa sukari na pressure japo ni kwel ukiwa na HIv unashambuliwa na magonjwa mengi , ila chanzo wengi ni HIV.
Hilo ni kweli kabisa, lakini kikubwa kinachonisikitisha ni kupikwa kwa takwimu,....hali ni mbaya mno, kiasi kwamba napata wazo kuwa hata wenye mamlaka wamekata tamaa,...😥🥲🥲
 
Habarini,

Lilikuepo miaka ya elf 2 mwanzoni, kulikuwa likianza linaanza na wimbo wenye mistari hii

"Dada yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi,

Kaka yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi

Mama yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi "

Hili tangazo lilikuwa kwenye channel gani, maana nalitafuta
Hahaha
 
NATOA 10K KWA MTU ATAKAE NITUMIA TANGAZO LA UKIMWI KWENYE MIAKA YA 2003+ AMBALO LINAFANYIKA KANISANI HUKU MTOTO ANAZALIWA NA KUBATIZWA KANISANI NA MWISHONI KABISA MILANGO YA KANISA INAFUNGWA.

NALITAKA LILE LAKINI KIINI NI ILE SOUND/AUDIO ILIYOTUMIKA NDO NAITAKA HASWA COZ NI MPENZI WA SOUND ZA VILE MNO REFER SOUND ZA TBC ZILE ZA SALAMU ZA KIFO
Mzigo nimeshaupata mkuu, nije pm kuchukua 10k yangu 😅 jerryempire
 
Back
Top Bottom