Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna baadhi ya watu wakikataliwa huanza kampeni ya kumchafua aliemkataa kwa style hiyo ya kusema ameungua. Inawezekana huyo mshkaji ndio tabia yake.
Kabisa wengi wanachafuliwa kimtindo , kuna dem flan iv kila mtu kitaa alisema ashapiga , kipindi cha nyuma kidogo , mwamba kuibuka mtoto ni sildi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ sasa sijui walipiga wapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Eti eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee maisha mafupi haya...
Sina mda wa kupoteza mimi..

Tunaishi mara moja.... Hakuna jipya hapa alaaaha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimeangalia posts zimefutwa
Ngoma ipo sababu nimeona watu wangu wa karibu wanatumia dawa na kuna kipindi mtu anapukutika anakua kama mtoto mdogo
Labda kutumia dawa ndio sababu wana pukutika?

Labda wasingetumia dawa wasingekuwa hivyo. Hebu msome Deception.

 
Hata pia huku chini naskia show inakua empty set au zerror order
Balaaa hiyo mie dingi alikuwa nayo. Nawashangaa sana watu wanapiga kelel eti ukimwi, ugonjwa ambao unaweza kula utakavyo na kugegeda una gegeda nao ni ugonjwa wa kumpa mtu presha kweli?
Madili ya watu tuu
 
Back
Top Bottom