Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

😂😂😂😂 Kavu kavu kavu
Sema wakuu hapa nashukuru sana kwa kunisanua aiseee khaaa kumbe nililia naenda siko kabisa.....

Sema weee kuna mtu ukimuona hata mambo ya kupima unasahau mkuu 😂😂😂😂😂
Ndio maana tunasema usipime kwa macho, sio kila king'aacho ni dhahabu. Hata kitumbua kikizidi mafuta hung'aa sana. Kuwa makini.
 
Ila sidhan kama kuna watu hawana uoga na ukimwi kama wanawake, wao wana condom zao ila sijawahi kukutana na hata mmoja anayeitumia, kwenye magonjwa ya std jukumu ni kama tumeachiwa wanaume, usipokuwa makini usitegemee kupata resistance kutoka side b, most of them are' yes men'
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ktakulambaaa!! Shauri yakoo. Lol
Niacheni..😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Maisha yenyewe haya haya miaka 50 sina cha kupoteza mimi.....

Nasemaje NISIULIZWE by JUX
 
Wakati niko chuo nilifanya review studies, ya maambukizi ya HIV kwa vijana umri 15- 24.

Hawa watu maambukizi ni makubwa sana ukilinganisha na age group zingine.

Wengi wao ndio hawa mnawaita watoto wa 2000, au Gen Z kama wanavyojiita wenyewe.
 
Jirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwaka

Juzi kati hapo huyo mama kapukutika uzuri wote kwishaa

Nikaenda kisimani nawasikia wamama wanapiga umbea wanamcheka eti "alikuja hata hajauliza historia, mwenzake kaungua kitambo"

Kumbe huyo baba ana ngoma kashamuambukiza mama wa watu🥹
Dah pole yake. Unanikumbusha ya aliyekuwa dereva wa Mama yangu. Mama alishaambiwa na wote tukawa tunajua, akatuletea dada wa kazi wa kwenda na kurudi. Kumbe mkewe!!!

Alituficha, yule dada alikuwa dhaifu, halafu mgongoni ana utangotango ule uliokomaa. Akafariki, siku ya msiba dereva anazuga tusijue ni mume. Kumbe pia alikuwa anatembea na mmama jirani yake. Mkewe wa kwanza alishafariki.

Kipindi anampeleka Mama yangu MOI pale, akampata nesi ila anajiita Dr!!!
Wakaoana, mumewe alishafariki, tukahisi nayeye huenda tayari, maana aliingia mzima, mzima. Baadaye tukaachana naye kikazi.
 
Play safe...
Hakikisha hu ikamii usje chubuka...
Wakati kuna wadau walikua wananishauri ili asinibwage inabidi niikamie...

Siwaelewi sasa which is which mbona mnanichanganya nyie 🥺🥺🥺🥺🥺🥺😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
 
Habarini,

Lilikuepo miaka ya elf 2 mwanzoni, kulikuwa likianza linaanza na wimbo wenye mistari hii

"Dada yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi,

Kaka yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi

Mama yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi "

Hili tangazo lilikuwa kwenye channel gani, maana nalitafuta
Nawaza hapa kama hii post yako itapata wachangiaji wengi,pia sijui hata kama kuna watakao malizia mpk mstari wa mwisho...
 
Watu mnpenda kutishan kwenye mmbo ambayo wala sio ya kutishana.
Jamani kisukari ni nomaa ngoma haifui dafu.
Tufanye mazoezi na tuache misoda. Kisukari hadi kibamia hakisimami
😁😁😁
 
Back
Top Bottom