Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Jirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwaka

Juzi kati hapo huyo mama kapukutika uzuri wote kwishaa

Nikaenda kisimani nawasikia wamama wanapiga umbea wanamcheka eti "alikuja hata hajauliza historia, mwenzake kaungua kitambo"

Kumbe huyo baba ana ngoma kashamuambukiza mama wa watu🥹
Ndio hivyo kuna watu wanajua kabisa hali zao ila wanasukumwa na ubinafsi na roho mbaya kuwaambukiza wengine makusudi
 
😁😁😁Huu uzoefu kila mtu anao , mimi nishapiga zaidi ya mara moja ,mtoto mbichi kabisa ,then nakutana na msela kaniambia kama haujapiga kimbia huyo kazaliwa nao , sijakaa vizuri nasikia mama yake kavuta 😁😁😁😁😁
😂 lazima uende likizo ya kukosa utulivu. Ikawaje?
 
Habarini,

Lilikuepo miaka ya elf 2 mwanzoni, kulikuwa likianza linaanza na wimbo wenye mistari hii

"Dada yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi,

Kaka yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi

Mama yangu amekwenda, amekwenda amekwenda na ukimwi "

Hili tangazo lilikuwa kwenye channel gani, maana nalitafuta
NATOA 10K KWA MTU ATAKAE NITUMIA TANGAZO LA UKIMWI KWENYE MIAKA YA 2003+ AMBALO LINAFANYIKA KANISANI HUKU MTOTO ANAZALIWA NA KUBATIZWA KANISANI NA MWISHONI KABISA MILANGO YA KANISA INAFUNGWA.

NALITAKA LILE LAKINI KIINI NI ILE SOUND/AUDIO ILIYOTUMIKA NDO NAITAKA HASWA COZ NI MPENZI WA SOUND ZA VILE MNO REFER SOUND ZA TBC ZILE ZA SALAMU ZA KIFO
 
Uzi wa ukimwi weekend mapema.
Jambo zuri.

Usione soo, kuhusu

Kusubiri,
Au kuwa mwaminifu
Au kutumia kinga.
 
Kuna jamaa yetu alifiwa na mamake yake mzazi na mama yake mdogo walikufa wote wakifuatana.
Ngoma aliwatanguliza.
 
Haha im in my late 40s sina cha kuogopa!! Mind you life expectancy ya mtanzania ni 50 years,
😂😂😂😂😂😂 Hawa ndo watu wa kukaa nao karibu..
Huna mda wa kupoteza dadek et et life expectancy ni 50 alafu unakua muoga muoga...

Oaaa weee nimekua inspired na wewe mkuu 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Nasemaje ni mwendo wa show show DO or DIE
 
😂😂😂😂😂😂 Hawa ndo watu wa kukaa nao karibu..
Huna mda wa kupoteza dadek et et life expectancy ni 50 alafu unakua muoga muoga...

Oaaa weee nimekua inspired na wewe mkuu 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Nasemaje ni mwendo wa show show DO or DIE
Wewe tenaa😂😂
 
Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.


Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
Hizi ishu za UKIMWI nilianza kuchukulia serious mwaka 2009. Enzi nikiwa mdambi, Siku moja niko maeneo ya Njiro ile nafika geti dogo uhasibu nikakutana na manzi mmoja niliyekuwa nikimnunua sana pale Mrina. Nikamuuliza unafanya nini huku akajibu ametoka makaburini kumzika kahaba mwenzao. Ubaya ni kwamba marehemu kilichomuua ni ngoma na aliacha orodha ya watu anaojua kawaambukiza. Ile ishu ilileta mtikisiko mkubwa kwenye tasnia ya uzinzi Arusha. Wazinzi wengi wa wakati huo tuliweweseka. Tangu hiyo siku nikaanza kuacha habari za uzinzi hasa kununua malaya.
 
Back
Top Bottom