ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Ypo vizuri kwenye kumbukumbuISHI CAMPAIGN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ypo vizuri kwenye kumbukumbuISHI CAMPAIGN
Usione Soo sema naeeeeKuhusu kusubiri, kuwa muaminifu au kutumia condom
Aposto majibu yakawa vizuri na kuanzia hapo sijauza mechi tena. Nilipima tena baada ya kama miez 5 kupita nikawa sawa.Nini kilitokea APOSTO 😊
Natania TU..Kama mazuri vile yaan ni balaaa 😴
Si mtalamu huyo wa afya 😂😂😂😂Ypo vizuri kwenye kumbukumbu
Jirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwakaNyie vijana, ukiingia kwenye uhusiano mpya. Hakikisha mnapima wote kwanza. Mambo ya kujifanya mnatumia protection, siku 2,3 za mwanzoni. Baada ya hapo mnaaminiana kwa macho, utapigwa na kitu kizito.
Pima, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja, ukishindwa achana na kujigjig. Siyo chakula kusema utakufa lah ukale mbegu vichwa vyenu.
Huo moyo wa kupima mnapata wapi wakui😂😂😂Aposto majibu yakawa vizuri na kuanzia hapo sijauza mechi tena. Nilipima tena baada ya kama miez 5 kupita nikawa sawa.
Msiuze mechi wakuu labda kama umejiridhisha usalama upo.
ARVs zimewadanganya wengi na wanahisi ukimwi haupo..., laiti wangeona ya miaka ya 2000 mwanzoni watu wangekua na heshima.
Mimi naogopa🙄As far as I know na kwamajibu ya mwisho sina. Labda tukapime tena dear
Usiogope kituMimi naogopa🙄
Mkuu mimi sisemi zaidi nisije nikakufuru ila mapito niliyopita na mechi nilizouza nashukuru nipo salama na sirudii tena.😂😂😂😂😂Daaah aiseee hiyo kitambo sana...
Ila kwa sasa unazani naelewa sasa...
Kwa hili life mkuu tunayopitia huyo virus mbona cha mtoto...
ARV + mlo mzr + mazoezi aaaaaaah
Mungu akupe nini tena mkuu 😂😂😂😂 au unataka A ya chemistry
Huyo baba simjuiCharlie Sheen reveals he is HIV Positive
Charlie Sheen has confirmed that he is HIV positive, and says that he is no longer taking drugs but is still drinking. Source: Telegraph UKwww.jamiiforums.com
ephen_
Nyie mbona hatareee hiiJirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwaka
Juzi kati hapo huyo mama kapukutika uzuri wote kwishaa
Nikaenda kisimani nawasikia wamama wanapiga umbea wanamcheka eti "alikuja hata hajauliza historia, mwenzake kaungua kitambo"
Kumbe huyo baba ana ngoma kashamuambukiza mama wa watu🥹
Inategemea mkuu ,ila ni bora utumie tu pia ujilinde kwa sababu sio HIV tu mkuu.Duh asee ni kwere. Hivi vile vipimo vidogo huwa vinatoa majibu ya kweli au ni boshen ya wazungu kuwazuga watu tu
Sasa umejifunza sio 😂😂😂😂🤜Mkuu mimi sisemi zaidi nisije nikakufuru ila mapito niliyopita na mechi nilizouza nashukuru nipo salama na sirudii tena.
🙄sawaUsiogope kitu
Kuna muda huna namna, kupima ni moja ya kuipenda na kuijali afya yako na kesho yako ili ufanye maamuzi sahihi mapema.Huo moyo wa kupima mnapata wapi wakui😂😂😂
Nimejifunza sana sio kidogo, ni bora nisiteleze kuliko niteleze kwa kuuza mechi.Sasa umejifunza sio 😂😂😂😂🤜
Una wazimu wewe si bure 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna muda huna namna, kupima ni moja ya kuipenda na kuijali afya yako na kesho yako ili ufanye maamuzi sahihi mapema.