Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii naweza kuikubali mkuu, kuna kijiwe kimoja nilishapiga stories kuhusu ukimwi na masela kila mtu alinishangaa ninavyo uchukulia ukimwi , mmoja akavunja ukimya akaniuliza kwani wewe hauna ukimwi?Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.
Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
Wenye nao ndio wanajua wanayopitia, kwa ninaowafahamu sio rahisi.Sema ndo hvo mkuu ni kuwa makini tuu...
Huu ugonjwa hauonekani kwa macho...
Ukipata ndo utajua how pain is mkuu
Ogopa sana umeichakata pisi mpaka akaomba maji, then upite kitaa usikie masela wasema ile mbona kitambo sna inatumia njungu, yani utaishi kama digidigi , kikitoka kipele tu unahisi tayari😁😁😂😂Alafu tunaishi nao tuu dadek zake...
Mamba tunatukana na mto tunavuka
HIV bado ipo na inaua ni kuwa makini tu mkuu ,kinga ni bora kuliko tiba .
mkuu show yake sio poa sema ndo hivo inafikia kipindi unasema oky lets life goes onWenye nao ndio wanajua wanayopitia, kwa ninaowafahamu sio rahisi.
Tunavizia mapka apate mimba ,akipima kule kliniki tunavimba tupo salama😁😁😁😁😁Unaringa umepima???
😂😂😂😂😂😂 Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu....Ugopa sana umeichakata pisi mpaka akaomba maji, then upite kitaa usikie masela wasema ile mbona kitambo sna inatumia njungu, yani utaishi kama digidigi , kikitoka kipele tu unahisi tayari😁😁
Sio jambo rahisi kuishi kwa dawa kila siku mkuu, wanapitia mengi ila ndio maisha sio kupenda kwao.mkuu show yake sio poa sema ndo hivo inafikia kipindi unasema oky lets life goes on
😁😁ila mkuu kuvaa soksi nayo jau kinoumaWanakwambia hawaogopi Dudu wala Mende.....Show show ,nyama kwa nyama ,mechi inauzwa ,wanatembelea RIM ,Kisiwa Dry Chama.
Unakuta mwamba ana gugo dalili kila dalili anajiona yumo😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂 Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu....
Kuna jamaa nilikutana na e hospital yaan amekuja na wenge kinoma noma anaanza kuniuliza mimi dalili za mtu mwenye ukimwi ni zipi..
Yaani jamaa nahisi alitoka kuuza mechi aisee yaani hakutulia kabisa..
Alafu mkuu ujue kuna watu hawapati kabisa hivo vidudu sa sijui kitaalamu imekaaje ..?
Mkuu acha tuu sasa na ugumu wa life hii alafu ukutane na zing zong ka hizo..Sio jambo rahisi kuishi kwa dawa kila siku mkuu, wanapitia mengi ila ndio maisha sio kupenda kwao.
Kuwa makini dear usilete nyumbaniInaweza kua kweli! Kwenye cycle ya watu ninaowajua kwenye jamii 10+ wana ngoma
Duh asee ni kwere. Hivi vile vipimo vidogo huwa vinatoa majibu ya kweli au ni boshen ya wazungu kuwazuga watu tuHii naweza kuikubali mkuu, kuna kijiwe kimoja nilishapiga stories kuhusu ukimwi na masela kila mtu alinishangaa ninavyo uchukulia ukimwi , mmoja akavunja ukimya akaniuliza kwani wewe hauna ukimwi?
ISHI CAMPAIGNnakumbuka ile waliyo imba kina stara thomas na wenzake.. ila inasema..
usione soo sema nae...
Google ya kingese sana....Unakuta mwamba ana gugo dalili kila dalili anajiona yumo😆😆😆😆
Nikiwa chuo nilipitaga na rafiki wa pisi yangu baada ya kuachana nae, alivyokuja kujua kuna siku nilikutana nae njiani akaniambia "utakuja kula hadi visivyolika kisa tamaa, utakufa mkavu mimi ndio namjua fulani umeshajimaliza, shauri yako bado hujapima?, kwaheri".Ugopa sana umeichakata pisi mpaka akaomba maji, then upite kitaa usikie masela wasema ile mbona kitambo sna inatumia njungu, yani utaishi kama digidigi , kikitoka kipele tu unahisi tayari😁😁