Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Yaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4

Adv huku yale yale kwenye GS

Chuo huko imo

Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena wee na mishangazi uchawara yako ya uswazi. Umeme ni kugusa tyuu, luku imooo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HIV bado ipo na inaua ni kuwa makini tu mkuu ,kinga ni bora kuliko tiba .
Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.


Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
 
Halafu hayo madawa yanajua kunawirisha unaona upaja unasema mambo si ndio haya ,kumbe umeingia cha kike.
Mkuu umetumwa....???
Mbona kama unanilenga mimi hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukiendelea na huu ushauri wako mkuu unakula bloku live live πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.


Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
80% inaweza isiwe kweli. Kwamba zaidi ya 40m wana hiv au aids, mmmh!
 
Tena wee na mishangazi uchawara yako ya uswazi. Umeme ni kugusa tyuu, luku imooo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeeeeeh dua la kuku hilo....
Nipo vizri...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Japo mara moja moja sikumbuki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ naelewa sasa mi naruka tuuu show kali rahaaaaaa
 
Yaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4

Adv huku yale yale kwenye GS

Chuo huko imo

Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jichanganye ujute.
 
Yaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4

Adv huku yale yale kwenye GS

Chuo huko imo

Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa hivi unabetua mwenye ukimwi na ukimwi unajikuta unakuogopa kukupata
 
Mkuu umetumwa....???
Mbona kama unanilenga mimi hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukiendelea na huu ushauri wako mkuu unakula bloku live live πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nilisha ponea kwenye tundu la sindano mkuu ,ilibaki kidogo nikimbie majibu mkuu.
 
Back
Top Bottom