Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Walijiona kama washamaliza hivi ππππππWapo pia waliojiungaga na Club za Fema wakiwa sekondari walikuwa wanaringa hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijiona kama washamaliza hivi ππππππWapo pia waliojiungaga na Club za Fema wakiwa sekondari walikuwa wanaringa hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo pia waliojiungaga na Club za Fema wakiwa sekondari walikuwa wanaringa hao
Halafu hayo madawa yanajua kunawirisha unaona upaja unasema mambo si ndio haya ,kumbe umeingia cha kike.Huyu wangu alinitafuta ili nimpelkee huo moto nahisi hakua nao mkuu πππππππ
Acha Tuu,,Maisha MtitiWalijiona kama washamaliza hivi ππππππ
Tena wee na mishangazi uchawara yako ya uswazi. Umeme ni kugusa tyuu, luku imooo!Yaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4
Adv huku yale yale kwenye GS
Chuo huko imo
Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yale matangazo ya ukimwi kipindi chetu yalisaidia sana mpaka leo tupo makini, ila hawa wa 2000 hata hawajui ukimwi ni niniπMuhimu mtu anakata moto na siha yake π€£π€£
Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.HIV bado ipo na inaua ni kuwa makini tu mkuu ,kinga ni bora kuliko tiba .
Mkuu umetumwa....???Halafu hayo madawa yanajua kunawirisha unaona upaja unasema mambo si ndio haya ,kumbe umeingia cha kike.
Ooooh maisha ni kikiri kakara mkuu oooh oooh ππππAcha Tuu,,Maisha Mtiti
80% inaweza isiwe kweli. Kwamba zaidi ya 40m wana hiv au aids, mmmh!Kuna uzi leo umeletwa kuwa almost asilimia 80 ya Watanzania wana HIV. Ni research imekuwa published kwenye journal moja huko Marekani.
Bahati mbaya naona JF wameufuta ule uzi uliletwa na Meneja Wa Makampuni labda atuwekee link ya hiyo journal.
Weeeeeeh dua la kuku hilo....Tena wee na mishangazi uchawara yako ya uswazi. Umeme ni kugusa tyuu, luku imooo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FA FT JAY DEEHakuonekana na binti lakini alikufa Kwa ngomaaa...
Jichanganye ujute.Yaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4
Adv huku yale yale kwenye GS
Chuo huko imo
Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima ππππππ
Sema ndo hvo mkuu ni kuwa makini tuu...Jichanganye ujute.
Sasa hivi unabetua mwenye ukimwi na ukimwi unajikuta unakuogopa kukupataYaani UKIMWI tumeanza kuusoma toka shule ya msingi...darasa la 4,5 na 7
Tukaja secondary 1, 2 & 4
Adv huku yale yale kwenye GS
Chuo huko imo
Bado mtaani huku show kali yaani kutishana tuu...
Afu mbona kwa sasa mambo sio magumu kiasi hicho wakuu..
Tunaishi nao tu sheria ile ile hakuna kupima ππππππ
Huo uzi uliletwa kweli midnight mimi nimekesha JF leo ngoja mhusika aje80% inaweza isiwe kweli. Kwamba zaidi ya 40m wana hiv au aids, mmmh!
Nilisha ponea kwenye tundu la sindano mkuu ,ilibaki kidogo nikimbie majibu mkuu.Mkuu umetumwa....???
Mbona kama unanilenga mimi hivi πππππππππππππππππππππ
Ukiendelea na huu ushauri wako mkuu unakula bloku live live ππππππππππ
Inaweza kua kweli! Kwenye cycle ya watu ninaowajua kwenye jamii 10+ wana ngomaHuo uzi uliletwa kweli midnight mimi nimekesha JF leo ngoja mhusika aje
ππAlafu tunaishi nao tuu dadek zake...Sasa hivi unabetua mwenye ukimwi na ukimwi unajikuta unakuogopa kukupata