Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Dah pole yake. Unanikumbusha ya aliyekuwa dereva wa Mama yangu. Mama alishaambiwa na wote tukawa tunajua, akatuletea dada wa kazi wa kwenda na kurudi. Kumbe mkewe!!!

Alituficha, yule dada alikuwa dhaifu, halafu mgongoni ana utangotango ule uliokomaa. Akafariki, siku ya msiba dereva anazuga tusijue ni mume. Kumbe pia alikuwa anatembea na mmama jirani yake. Mkewe wa kwanza alishafariki.

Kipindi anampeleka Mama yangu MOI pale, akampata nesi ila anajiita Dr!!!
Wakaoana, mumewe alishafariki, tukahisi nayeye huenda tayari, maana aliingia mzima, mzima. Baadaye tukaachana naye kikazi.
Hii kitu zaman ilikuwa inakula kitu na cycle yake.
Dawa za ARVs zimesaidia sana.
 
Dah pole yake. Unanikumbusha ya aliyekuwa dereva wa Mama yangu. Mama alishaambiwa na wote tukawa tunajua, akatuletea dada wa kazi wa kwenda na kurudi. Kumbe mkewe!!!

Alituficha, yule dada alikuwa dhaifu, halafu mgongoni ana utangotango ule uliokomaa. Akafariki, siku ya msiba dereva anazuga tusijue ni mume. Kumbe pia alikuwa anatembea na mmama jirani yake. Mkewe wa kwanza alishafariki.

Kipindi anampeleka Mama yangu MOI pale, akampata nesi ila anajiita Dr!!!
Wakaoana, mumewe alishafariki, tukahisi nayeye huenda tayari, maana aliingia mzima, mzima. Baadaye tukaachana naye kikazi.
Weeeh
 
Watu mnpenda kutishan kwenye mmbo ambayo wala sio ya kutishana.
Jamani kisukari ni nomaa ngoma haifui dafu.
Tufanye mazoezi na tuache misoda. Kisukari hadi kibamia hakisimami
Yeah,
Mwituni anavuma simba ila kuna wanyama wakali simba anasubiri, sukari inaua macho, inaua figo inaleta uhanisi, amputation, ni hatari sana
 
Ikabidi nipime mkuu, zaidi ya hospital kama tano , ndio ikawa mara yangu ya kwanza kunywa pombe, kumbe binti wa watu wala hakua na chochote , sasa ivi ni mke wa mtu na ana watoto kibao tu.
Kuna ukurasa umeuchana min😂😂
 
mzabzab wee ndio mwana sasa...

Kuna watu wanakamia hapa nimshawishi ant etu akapime na unajua fika kitendo cha kumwambia hayo mambo ni kama ushapoteza tatu muhimu.....

Sasa hapa mkuu ni mwendo huu huu ni humuuu tuuu 😂😂😂😂😂😂🤜🤜🤜
 
Ikabidi nipime mkuu, zaidi ya hospital kama tano , ndio ikawa mara yangu ya kwanza kunywa pombe, kumbe binti wa watu wala hakua na chochote , sasa ivi ni mke wa mtu na ana watoto kibao tu.
Kuna baadhi ya watu wakikataliwa huanza kampeni ya kumchafua aliemkataa kwa style hiyo ya kusema ameungua. Inawezekana huyo mshkaji ndio tabia yake.
 
Yeah,
Mwituni anavuma simba ila kuna wanyama wakali simba anasubiri, sukari inaua macho, inaua figo inaleta uhanisi, amputation, ni hatari sana
Kweli mwanawane kisukari balaaa acha kabisa.
Mambo ya kubiwa huwezi kunywa pepsi baridi jamani sii mateso hayo
 
Back
Top Bottom