Kuna Waislamu wanachafua Uislam

Kuna Waislamu wanachafua Uislam

Kwa vile dini yako ya munyazmungu imesemwa?
Sasa hapo dini yake ina zungumzwa kwa minajili ipi kama sio upumbavu?

Kwamba dini ndio imewatuma wafanye mambo waliyo yafanya au?
 
Mimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme

zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.

pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.


Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?

Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!

Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,

Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!

Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.

Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?

Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!

Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.

Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
Hivi Dini ni majina au vitendo kwasbb naona watu wengi hubadili majina yao ili kufanya mambo yao
 
Kwenye list ya waliochota escrow nimekuta Bank ya Mkombozi...inamilikiwa na Bakwata?
 
Kuweni makini kuna kundi maalumu lenye maslahi binafsi linatengeneza propaganda wizi ufisadi hauna dini ndugu zangu.
Nakubaliana nawe unapoandika wizi na ufisadi hauna dini, na hata ukinisoma vizuri, hakuna popote kwenye andiko langu nilipotaja dini yoyote, nilijua ninachokiandika 100% nikiamini sijamkwaza yeyote na dini yake.

Kama ushahidi unao toka kwenye nilichokiandika wa kuisema dini yoyote weka hapa, siku zote najua nachokiandika, so usiniamshe kwa sababu sijalala.
 
ila watu wanakojoa pazuri
20221115_175157.jpg
 
Mimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme

zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.

pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.


Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?

Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!

Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,

Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!

Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.

Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?

Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!

Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.

Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
Na hao wote utawakuta wako serious kukandia pombe ni haramu, ile nyama ni haramu sijui nini ni haramu. Ila nyuma ya pazia kumbe wao ndo haramu
 
Hakuna MWIZI mwenye DINI ya kikristo au Islam, Mwizi ni MWIZI tu.

DINI ni Utaratibu wa namna ya kumwabudu Mungu, mara nyingi Utaratibu huu unaratibiwa kibinadamu na kupoteza maana halisi ya IBADA.

DINI Kwa maana ya mfumo na Utaratibu wa kuabudu itakupeleka CHINI, KUZIMU.

Yesu ndiye DINI Kwa maana ya NJIA, Kweli na uzima. Amwaminiye YESU na kuokoka akawa MTAKATIFU hawezi iba kamwe.

Nchi hii inahitaji kupata kiongozi aliyeokoka na MTAKATIFU.

Ameeeeeen.
 
Mimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme

zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.

pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.


Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?

Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!

Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,

Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!

Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.

Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?

Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!

Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.

Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
Ni kweli ulivyosema ingawa jina la mtu alimlazimishi kuwa na Imani ya Dini husika.
Imani za Dini haziingiliani na uhalifu na waalifu,kwani wengine wana majina ya Dini lakini sio waumini wa kweli.
 
Shetani mara nyingi huwa ana dill na wale wanaonyesha kufanikiwa kiimani, wale waliopotea hana shughuli nao.
 
A
Kwa hiyo uislamu ndio umewatuma kufanya walicho kifanya?

Aisee chuki dhidi ya waislam inadizi kuenea kwa kasi ya kushangaza.

Na cha kushangaza hii mada haitafutwa pamoja na kwamba imeletwa kwa ajili ya kuwakejeri na kuwadhalilisha waislam.

Jf imekuwa wakala mkuu wa kueneza chuki dhidi ya Uislamu Afrika mashariki na kati.
Inashangaza sana sijui waislam wamewakosea nn mpaka mnawasakama kiasi hicho.
Acha porojo, umefanya utafiti?
 
Back
Top Bottom