Kuna Waislamu wanachafua Uislam

A

Acha porojo, umefanya utafiti?
Unataka tafiti gani zaidi ya hizi mada zinazo funguliwa humu kwa lengo la kuudhihaki uislamu na bado zina achwa bila kuchukuliwa hatua yeyote na uongozi wa jf?
 
Unataka tafiti gani zaidi ya hizi mada zinazo funguliwa humu kwa lengo la kuudhihaki uislamu na bado zina achwa bila kuchukuliwa hatua yeyote na uongozi wa jf?
Ulienda magereza ukawakuta wenye majina hayo ni % ngapi ya wafungwa?
 
Sipendi kuziendekeza Imani ila ni kweli
Uislam unamahusiano na ujasiri
Na ukatoliki una mahusiano na Ulegevu no wonder ukiskia ni issue za Catholicism basi ni Ushoga
 
Bunguza bhangi wewe!!!!!
 
Melo anaendekeza wagalatia wenzie, jamaa mjinga sana
 
Ni kweli ulivyosema ingawa jina la mtu alimlazimishi kuwa na Imani ya Dini husika.
Imani za Dini haziingiliani na uhalifu na waalifu,kwani wengine wana majina ya Dini lakini sio waumini wa kweli.
Ila ukiwa pale central kwa bwana afande lazima utaje dini yako .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya watuhumiwa Tisa wa madawa ya kulevya waliotangazwa leo na kusaya nane Ni wakristoo mmoja muslamu [emoji41]
 
Nilikupa likes lkn kweny Aya ya mwsho umeandika ovyo Sana stupid
 
Kweli Mkuu ata wadandia Meli kwenda Ughaibuni kwa njia za panya wengi ni Waislamu.Au wanafundishwa ujasiri uko Madrasa!!
Jibu ni kwamba, kila sehemu kuna mishe zake na watu wa eneo husika mara nyingi hujishughulisha na mishe hizo,, kwa hapa mjini dar es salaam vijana hasa wenyeji wa mji huu ni waislam, ukibisha sikushikii bakora, shughuli ya ubaharia ni kazi iliyokuwa ikipendwa sana kama nyie huko kijijini kwenu sitimbi mlivyobobea kwenye kilimo kwa kuwa kuna mashamba,, so si ajabu kukuta vijana wengi wa kiislam kukuta wanazipenda meli na si kwamba tunafundishwa madrasa,, mimi mwenyewe hapa nishatoka na ndonga(meli) beach Cape town nikaingia Singapore.
 
Wee udini wako wakupeleka pabaya. Na mijizi yote ya mali ya umma takriban ni Wakristo. Sasa?
Kufanya uovu ni uamuzi wa mtu binafsi, dini haihusiki.
 
Bora waislam wezi.ila wakristo wameanzisha LGBT duniani.
 
Nimegundua hauna akili,ht kidogo unaketa udini hapa...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…