Kuna wakati mke wangu ananikosea ila nikiangalia uzuri wake na watoto alonizalia, hasira zinaisha.

Kuna wakati mke wangu ananikosea ila nikiangalia uzuri wake na watoto alonizalia, hasira zinaisha.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Kuna raha bwana yakua na mke mzuri, kisha akakuzalia watoto wazuri. Kila muda ukimuangalia na ukiangalia watoto, moyo wako unasuuzika.

Kuna wakati watu mtaani wanauliza imekuaje tukachaguana wote wakali, mke mzuri, mume handsome na watoto ndo ma cute hatari sana.

Ukitaka kuoa, chagua mke mzuri, mengine ni polojo tu.
 
Kuna raha bwana yakua na mke mzuri, kisha akakuzalia watoto wazuri. Kila muda ukimuangalia na ukiangalia watoto, moyo wako unasuuzika.

Kuna wakati watu mtaani wanauliza imekuaje tukachaguana wote wakali, mke mzuri, mume handsome na watoto ndo ma cute hatari sana.

Ukitaka kuoa, chagua mke mzuri, mengine ni polojo tu.
Mbona dalili kama za kishoga hizi, ok anyway siku yakikukuta tunaomba ulete mrejesho humu jukwaani.
 
Kuna raha bwana yakua na mke mzuri, kisha akakuzalia watoto wazuri. Kila muda ukimuangalia na ukiangalia watoto, moyo wako unasuuzika.

Kuna wakati watu mtaani wanauliza imekuaje tukachaguana wote wakali, mke mzuri, mume handsome na watoto ndo ma cute hatari sana.

Ukitaka kuoa, chagua mke mzuri, mengine ni polojo tu.
Binti yako ana umri wa miaka mingapi Mzee wangu.?

Nataka nilete barua
 
Kama umeridhika na hali yako uzi wa nini sasa?
Kitendo cha mwanaume kujiona handsome ni tatizo kubwa sana
 
Kuna raha bwana yakua na mke mzuri, kisha akakuzalia watoto wazuri. Kila muda ukimuangalia na ukiangalia watoto, moyo wako unasuuzika.

Kuna wakati watu mtaani wanauliza imekuaje tukachaguana wote wakali, mke mzuri, mume handsome na watoto ndo ma cute hatari sana.

Ukitaka kuoa, chagua mke mzuri, mengine ni polojo tu.
Mada zako zinaonyesha kabisa kama siyo gasho basi hanithi
 
Kuna raha bwana yakua na mke mzuri, kisha akakuzalia watoto wazuri. Kila muda ukimuangalia na ukiangalia watoto, moyo wako unasuuzika.

Kuna wakati watu mtaani wanauliza imekuaje tukachaguana wote wakali, mke mzuri, mume handsome na watoto ndo ma cute hatari sana.

Ukitaka kuoa, chagua mke mzuri, mengine ni polojo tu.
Anakukosea nini!!? Kwa uzuri huo acha ugongewe tu we endelea tu kivumilia. ..
 
Humu ungekuja na story kuwa umemfumania huyo mkeo ingekuwa 🔥 ila kwa hizo sifa zako utaambulia kejeli.
 
Mr. Handsome kwa taarifa tu kila wiki lazima ugongewe
 
Back
Top Bottom