#COVID19 Kuna wakati nawaza huenda Corona inauwa zaidi wanaume kuliko wanawake (ipo haja kuchunguza ni kwanini)

#COVID19 Kuna wakati nawaza huenda Corona inauwa zaidi wanaume kuliko wanawake (ipo haja kuchunguza ni kwanini)

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Nimefuatlia sana ugonjwa wa korona tangu uingie!

Nilichogundua wazee wengi wa kiume ndo wanafariki zaidi ukiringanisha na wanawake!

Hii ni kutokana na ukweli kwamba, wanandoa wazee wanapopata changamoto za ugonjwa huo, akianza kufa mwanamke basi kama mme alikuwa naye wakati wa kuuguza naye hufariki siku chache baadae.

Lakini akianza kufa mwanaume, wamama wamekuwa wakihimili kubaki hai ukiringanisha na wanaume!

Nadhani wanawake kuna kitu kinawabeba wasiathiliwe zaidi na huo ugonjwa!

Huu ugonjwa kuna uwezekano ukawa unaathili zaidi wanaume watu wazima kuliko wanawake!

Watalaam mnaweza kunielewesha zaidi.
 
Nadhani wanawake wengi wapo active kwa kuwa wanafanya lots of domestic work nyumbani na hivyo wamedevelop kinga za kutosha mwilini.

Wanaume walio wengi cycle yao ni kwenda job asubuhi (kwenye kiyoyozi), ofisini full time jioni kwenye bia then home.

Sina data lakini ni wazi watu walio active (bodaboda boys, wamachinga, footballers etc) Covid19 haiwaui. Ndio maana hata akina Ronaldo, Aguero, Pogba etc etc walicontract ila wakarudi uwanjani baada ya siku 10 tu.
 
Nimefuatlia sana ugonjwa wa korona tangu uingie!
Nilichogundua wazee wengi wa kiume ndo wanafariki zaidi ukiringanisha na wanawake!
Corona ni ushahidi mdogo tu, lakini kiujumla Wamama waliofariki wakaacha waume ni wachache kuliko Waume waliofariki wakaacha wake.
 
His observation inahitaji utafiti zaidii; ni kweli wanaume wengi wanakufa kwa corona kuliko wanawake, lazima kutakuwa na sababu za kisayansi!!!
Mkuu hili swala ni kweli. Wanaume wako kwenye hatari kubwa kuliko wanawake. Wanasema hii ni scientifically proven.

Nilihudhuria mahali na ikatolewa elimu na mmoja wa wataalam wa afya, na akagusia hii kitu. Kama nakumbuka alisema kuna gland ambayo mwanaume anayo, mara kirusi kinapoingia mwilini basi hupenda "kubind" na hiyo gland na matokeo yake ni kumuweka mgonjwa kwenye hatari zaidi.
 
His observation inahitaji utafiti zaidii; ni kweli wanaume wengi wanakufa kwa corona kuliko wanawake, lazima kutakuwa na sababu za kisayansi!!!
Kabisa! Kuna mdau Hapo juu kasema sababu ni mazoezi.
 
Mkuu hili swala ni kweli. Wanaume wako kwenye hatari kubwa kuliko wanawake. Wanasema hii ni scientifically proven.

Nilihudhuria mahali na ikatolewa elimu na mmoja wa wataalam wa afya, na akagusia hii kitu. Kama nakumbuka alisema kuna gland ambayo mwanaume anayo, mara kirusi kinapoingia mwilini basi hupenda "kubind" na hiyo gland na matokeo yake ni kumuweka mgonjwa kwenye hatari zaidi
Nahitaji ufafanuzi zaidi kwenye hiyo gland
 
Mkuu hili swala ni kweli. Wanaume wako kwenye hatari kubwa kuliko wanawake. Wanasema hii ni scientifically proven.

Nilihudhuria mahali na ikatolewa elimu na mmoja wa wataalam wa afya, na akagusia hii kitu. Kama nakumbuka alisema kuna gland ambayo mwanaume anayo, mara kirusi kinapoingia mwilini basi hupenda "kubind" na hiyo gland na matokeo yake ni kumuweka mgonjwa kwenye hatari zaidi
Unakumbuka mtaalam alisema ni gland ipi? Sitaki kukisia!
 
Kama kuna literature ya kutosha inasemaje juu ya hizi tofauti?
Male sex identified by global COVID-19 meta-analysis as a risk factor for death and ITU admission
Download PDF

Male sex identified by global COVID-19 meta-analysis as a risk factor for death and ITU admission​


Abstract​

Anecdotal evidence suggests that Coronavirus disease 2019 (COVID-19), caused by the coronavirus SARS-CoV-2, exhibits differences in morbidity and mortality between sexes. Here, we present a meta-analysis of 3,111,714 reported global cases to demonstrate that, whilst there is no difference in the proportion of males and females with confirmed COVID-19, male patients have almost three times the odds of requiring intensive treatment unit (ITU) admission (OR = 2.84; 95% CI = 2.06, 3.92) and higher odds of death (OR = 1.39; 95% CI = 1.31, 1.47) compared to females. With few exceptions, the sex bias observed in COVID-19 is a worldwide phenomenon. An appreciation of how sex is influencing COVID-19 outcomes will have important implications for clinical management and mitigation strategies for this.
 
Back
Top Bottom