Kuna wakati sisi wanawake tulipaswa kuishi maisha haya. Dunia ingekuwa sehemu salama kabisa

Kuna wakati sisi wanawake tulipaswa kuishi maisha haya. Dunia ingekuwa sehemu salama kabisa

Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
Uko single nilete posa?
 
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
Evelyn Salt
nisaidie kumuuliza huyu bidada yupo wapi...😅
 
Kwa namna mja au nyingine mwanamke bila mwanaume hakuna mtu au binadamu.

Mwanamke ananafasi kubwa kuifanya dunia iwe hapa ilipo leo.
View attachment 3052534

Hii picha haimaanishi jambo baya mimi kama mwanamke naona kabisa ningeishi kwa amani na mume wangu mmoja.

Hata huyu mwanaume angishi maisha marefu tu. One leo wanaume wanafariki mapema, wanatafuta pesa na kutoka nje ya ndoa na kuhonga na kuacha kufanya mambo ya maana.

Kuna usaliti,ubarhirifu unaotokana na ubinafsi. Laity kila mwanaume angekuwa na wanawake wake watatu au wanne akawa anawalimda na yeye analidwa basi tungeishi kwa amani na wanaume wetu
KUwafunga chain hapana lakini hoja yako ya msingi ina mashiko. Mwanamke mmoja hawezi kutosheleza mahitaji ya kingono ya mwanaume sana sana kama uyo mwanamke sikumkuta bikira.

Linapokuja suala la sex wanawake wana changamoto nyingi. Mwanaume yupo tayari 24hrs lakini mwanamke mara kachoka, mara kichwa kinauma, mara yupo period mara mara mara ni nyingi sana
 
Mwanaume mwenye wake 12 aliowachagua mwenyewe hana sababu ya kutoka nje kutafuta wakati kazi zinamsubiria nyumbani.
Haya mambo ya mke mmoja tumeletewa tu na wazungu, mimi babu yangu alikua na wake 8 sasa wake wote hao uchepuke kutafuta nini.
 
Back
Top Bottom