Nafikiri ifike mahala watu wamalize hii changamoto jamani.
Hivi unajionaje uko mjini unatembelea usafiri wa Nguvu halafu kule kijijini ulikotoka Watoto wanakalia mawe darasani? Na kuna mikoa ina misitu na inauza mbao nayo eti inamatatizo ya madawati; Ni aibu!
Naamini hili la madawati na vyoo linaweza kumalizwa kwa ushirikiano wa wazazi na Wilaya/Mkoa. Mbona kuna baadhi ya mikoa imeweza kwa kujitolea tu kwa wanachi? Nyie wengine mnaojifisia huku Mijini, kwenye vijiwe nk mmefanya nini kjijini kwenu?
Najua kizazi hiki kimegubikwa na ubinafsi mkubwa sana wa kujifikiria wao na watoto wao (BMW), ila amini tu hata ungejilimbikizia mali kama Mchwa, hutaenda navyo kaburini na pengine huku nyuma zichezewe tu.
Hivi unajionaje uko mjini unatembelea usafiri wa Nguvu halafu kule kijijini ulikotoka Watoto wanakalia mawe darasani? Na kuna mikoa ina misitu na inauza mbao nayo eti inamatatizo ya madawati; Ni aibu!
Naamini hili la madawati na vyoo linaweza kumalizwa kwa ushirikiano wa wazazi na Wilaya/Mkoa. Mbona kuna baadhi ya mikoa imeweza kwa kujitolea tu kwa wanachi? Nyie wengine mnaojifisia huku Mijini, kwenye vijiwe nk mmefanya nini kjijini kwenu?
Najua kizazi hiki kimegubikwa na ubinafsi mkubwa sana wa kujifikiria wao na watoto wao (BMW), ila amini tu hata ungejilimbikizia mali kama Mchwa, hutaenda navyo kaburini na pengine huku nyuma zichezewe tu.