Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Si unitaje tu???[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Hey naona nimeitwa huku kunani tena...?. Huyo jamaa ndio unanifananisha na mimi aisee.

Hebu nitake radhi kwanza kabla ya yote my loveliest one and only baby.
Hahahaaa. Nisamehe bure kwa kweli. [emoji120]

Nilikufananisha na huyo NDUKI nikijua ndio weye banaa sababu kitambo mno sijakuona mitaa ya Jf hasa lile jukwaa lako pendwa la Picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…