Kuna wanaume mnadanganywa kujali mwanamke ni kumsaidia kupika ama kufua. Niwasihi kwamba hayo sio majukumu yenu ni uboya

Kuna wanaume mnadanganywa kujali mwanamke ni kumsaidia kupika ama kufua. Niwasihi kwamba hayo sio majukumu yenu ni uboya

Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.

Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya mwanamke nayobidi ayafanye yeye bila wewe kuingilia wala kumsaidia, usije kukubali kufanya majukumu ya mwanamke kwa kudanganywa kuwa ni kujali.

Nashangaa sana nakuta siku hizi mwanaume anaji proud kabisa kuwa jumanne na jumapili ni siku yake ya kuandaa chakula, Like what the hell is this shit !!

Mwanaume hakikisha mwanamke unaemuoa anaweza kukufulia nguo zako, anaweza kukupikia, n.k. ni majukumu halali kabisa ya mwanamke ndani ya mahusiano, kujitia unamjali kumsaidia majukumu ya mwanamke ni uboya, hata uwe na pesa vipi usije kunasa huu mtego, ni sawa na kuwa na pesa hutaki watoto wafanye kazi za nyumbani, mwishowe wanakuwa watu wazima hawajui hata kujitandikia vitanda.


Tusipangiane, kila mtu anajua namna ya kumweka mke wake sawa, hakuna standard formula, kama mke akizidiwa na kazi ninaweza hata badili mtoto pampas.

Kwani ni majukumu ya mke kutoa hela nyumbani? Mbona mnalazimisha mpewe salary slip? Kila mtu aangalie namna nyepesi ya amani kwake.
 
True stori sijaongeza Wala kupunguza..Miaka michache nyuma nili limwa ban job kisa ujuaji,anyway sikumwambia yule mwehu maana siunajua tena Wanaume tunahiyo kasumba,nikawa natoka ghto monie naenda kitaa nashinda narudi jioni nkirudi narudi nafurushi manzi ajue Bado Niko job.Miezi minne nafanya hivyo akiba ikakata,ikabidi nimchane,akasema Haina shida atanivumilia nitapata kazi nyingine,nikawa nabaki home napika nafua,naosha vyombo akirudi anakuta nyumba safi,kigae kinang'aa akijitazama anajiona na komwe lake,siku ya kwanza kashangaa na kuonyesha furaha ila siku zilivyozidi akaanza mazonge mara akirudi anarudia kuosha vyombo,na anarudia kudek.Siku nliyochoka nilipokea sms ya mama mkwe
"Acha kuingilia majukumu ya mwenzio"
N.B nilishapiga chini.
Mama mkwe alikuwa sahihi kabisa,

ukipoteza kazi usidhani kwamba utamfurahisha ama kum neutralize mwanamke kwa kuingilia majukumu yake, muda huo ilibidi uendelee kupambana huko nje kutafuta hata vibarua.
 
Mdogowangu usifanye mambo kuwa magumu alafu ukifanya kilakitu kuwa ni ishu kubwa utapata tabu San
Kunawakat mwenzio ataumwa ujue
[emoji23][emoji23] sio ishu kubwa ila kamwe sitaingilia majukumu yasiyo yangu kamwe. Iwe ya mke au ya mzazi maana yalishanikuta, hivyo akishindwa kutimiza majukumu yake basi hatuwezani kila mtu anashika njia yake. Usinihofie mimi dada mkubwa, [emoji23][emoji23][emoji23] ulimwengu ulinifunza sinahamu tena. Stay in your lane!
 
Siku moja nilienda kwa faza mdogo kumjulia hali huko Kiembe Samaki. Asubuhi nashangaa anakusabya baibui na magauni ya mke wake anafua. Kupika anapika yeye, Na mengineyo.

Nilimshangaa sana ywyw anakuambia ndio inavyotakiwa kwa mwanaume wa kiislam kufanya hivyo. Sikumkawiza nikamuwashia moto.

Haiwezekani mwanaume wa mkoani na mke wake wa mkoani ila tu wanaishi huko ndio ujifanye nawe sasa ushakua mwarabu.

Hizo kasi unazifanya pale tu unapoona unajisikia kumsaidia na sio kuzifanya zako. Unajishushia hadhi hata kwa mkeo maana unamfanya yeye ndio awe Dorminant afu wewe me unakua Submissive kitu ambacho mwanamke pia hakitaki kukiona kwa mume wake. Coz wanawake wanapenda kutawaliwa na kupelekeshwa In nature

uko sawa
 
Wanaume type ya babako hao ndo wanachochea ushoga vilevile. Mwanaume unaanzaje kushika kikapu ukahemee sokoni? Unachambua kambisa fungu la nyanya hili hapana naomba zile Really? Mkuu Kuna vitu vya kuiga lkn si kufua na kuhemea otherwise anaumwa Tena ghafla!

Uko sawa, mimi binafisi siwez fanya hivyo
 
Kiujumla, ndoa ni upumbavu wa hali ya juu sana. KATAA NDOA.
 
Kufua nunua mashine ili uepukans na kesi
 
Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.

Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya mwanamke nayobidi ayafanye yeye bila wewe kuingilia wala kumsaidia, usije kukubali kufanya majukumu ya mwanamke kwa kudanganywa kuwa ni kujali, exception iwe pale tu anapoumwa and the likes.

Nashangaa sana nakuta siku hizi mwanaume anaji proud kabisa kuwa jumanne na jumapili ni siku yake ya kuandaa chakula, Like what the hell is this shit !!

Mwanaume hakikisha mwanamke unaemuoa anaweza kukufulia nguo zako, anaweza kukupikia, n.k. ni majukumu halali kabisa ya mwanamke ndani ya mahusiano, kujitia unamjali kumsaidia majukumu ya mwanamke ni uboya, hata uwe na pesa vipi usije kunasa huu mtego, ni sawa na kuwa na pesa hutaki watoto wafanye kazi za nyumbani, mwishowe wanakuwa watu wazima hawajui hata kujitandikia vitanda.

Huna lolote zaidi ya uhafidhina,uprimitivu na ushamba..
 
Back
Top Bottom