Na ubaguzi kwani hatuoni wengine wanavyobebishana humu tena unakuta ni bwana na wake zake na wanaoitana kaka Dada Shemeji wifi yaani ukoo mzima wanaonyesha mahaba yao mubashara sasa wengi humu ni ma fa fa fa ya mapenzi yamejaa wivu wivu tuKwan unadhan niubaguzi ????? Huu ni Wivu tuuu kapeace hamna kingine !!!.
POLE SANA MPNZ MIMI NAJIKAZA TU YAHNNimeudhika sana leo
Hii Kali nakwambia page 50 zikalimwa [emoji57] [emoji57] [emoji57]POLE SANA MPNZ MIMI NAJIKAZA TU YAHN
Namm nawaonaga tuuuu nawatizama Mara kaka ..mama dadaaa sijui shemeji kumbe hamna kituuuuu7uuuuuuu wangonokaji wakubwa tuuuuuu.Na ubaguzi kwani hatuoni wengine wanavyobebishana humu tena unakuta ni bwana na wake zake na wanaoitana kaka Dada Shemeji wifi yaani ukoo mzima wanaonyesha mahaba yao mubashara sasa wengi humu ni ma fa fa fa ya mapenzi yamejaa wivu wivu tu
Yani ni wachawi sana humuNamm nawaonaga tuuuu nawatizama Mara kaka ..mama dadaaa sijui shemeji kumbe hamna kituuuuu7uuuuuuu wangonokaji wakubwa tuuuuuu.
Leo vimoyo vimeuma kisa kilichoandikwa kwao wamekua wanakisikia tuuu.
Usijali sanaaaaaaaa ...Haiwezi badili chochote kwangu ..sanasana wametoa kichocheo cha kubust mahusiano yetu.POLE SANA MPNZ MIMI NAJIKAZA TU YAHN
Maajabu kweli kweli kapeace ...Hii Kali nakwambia page 50 zikalimwa [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Tena wachawi hasaaaaa .Yani ni wachawi sana humu
Ngoja nikasome na Uzi umeeditiwa hahahahahah kweli wivu ni kidondaMaajabu kweli kweli kapeace ...
Alafu eti sababu wanajua wamefanya unaaaa wanajifanya kurekebisha nauzi Wa Mima ,,as if kama kunamaneno kayaweka kimakosa....
Ungese kweli yani.
Umeeditiwa mpenzi ...dunia hiii unaichezea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji23]Ngoja nikasome na Uzi umeeditiwa hahahahahah kweli wivu ni kidonda
Nimeona aiseeUmeeditiwa mpenzi ...dunia hiii unaichezea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji23]
Hahaaaaa umeona eehhhh ,,, unajua Madhaifu yamtu na unaa wake hujidhihirisha yenyewe !!!.Nimeona aisee
HATUJIBU MASWALI HAYA SA HIZI WATU TUMEVURUGWA NA WW ULIKUWA WAPI TANGU JANA UNAKUJA SA HIZI...WATU TUSHACHANGANYIWA MAFAILVipi hakuruka ukuta kama hakuruka huyo sie
Msameheer hajui atendalo.HATUJIBU MASWALI HAYA SA HIZI WATU TUMEVURUGWA NA WW ULIKUWA WAPI TANGU JANA UNAKUJA SA HIZI...WATU TUSHACHANGANYIWA MAFAIL
Kampeace, unamaoni gani kuhusu mada hii? Nimejaribu kufuatilia comnents zako, lakini unajibu kijanjajanja. Sijaambulia kitu.Nimeona aisee
Comments zimefutwa pole kwa kuchelewaKampeace, unamaoni gani kuhusu mada hii? Nimejaribu kufuatilia comnents zako, lakini unajibu kijanjajanja. Sijaambulia kitu.
Dada kumbe na ww mchokozi 😀😀Hivyo hukutaka kingine kwake we ulipojua tu ni sukari ya warembo basi ukamtunuku.
Ila na sisi wanawake tuna vituko yaani sukari uilambe wewe, sifa utuletee sisi mbona kama haiusiani.
Au ndio unajipiga promo.