Kuna wanaume wana mapafu ya punda (wanaume kumbe bado wapo ila wachache)

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] km wana mapafu ya punda km wewe jiandae kuibiwa lkn usiwe na wasiwasi mapafu ya punda hakuna ndo maana povu zito limewashuka humu
Aisee ww unasema mapafu ya punda je ss tuliojaliwa mapafu ya mbwa tusemeje jamen?...
 
Naamini hata sisi wenye pumzi za kuku tutapata wa kwetu wa kutumwagia sifa kemkem namna hii..
 
Hivyo hukutaka kingine kwake we ulipojua tu ni sukari ya warembo basi ukamtunuku.

Ila na sisi wanawake tuna vituko yaani sukari uilambe wewe, sifa utuletee sisi mbona kama haiusiani.

Au ndio unajipiga promo.
Kula like
 
Kwamtindo huu UKIMWI hautokwisha mlikumbuka kondoms.
 
Umekosa mada ya kuleta hapa wewe, nani kakuambia utamua wa mapenzi au n g o no ni kuchoshana usiku mzima? acha ushamba huyo jamaa yako wala hajui kukugegeda labda useme kwamba unapenda kutiwa tu muda wote ila sio kwa kuridhika
 
Kinachonimaliza zaidi ,,hawa watoto wanaunga mbogaaa jaman ,chaaaa yan mboga inaungwa mpaka unaanza shiba bila hata kula.

Na ndani kunavyonukia masham masham ,,sijui huwa anapuliza namavitu gan ??.
wacha we....wanafukiza udi.....kuunga mboga iyo tisa mkuu....maji ya kuoga ndo funga kazi....yani maji yana iliki..mdalasini..unaoga maji yenye hadhi ya chai ya hotel ya nyota tatu
 
Duuuuu mbona hizo ni adhabu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…