Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Maisha sarakasi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha sarakasi mkuu
Uko sahihi sana...Pole sna ila tumesikia upande mmoja ngumu sna kutoa Uhukumu Kwa kusikiliza upande moja Sina Iman km mwanaume anaweza kutupa watt wake tu bila sababu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ilikuwa hivyo,lakini bado alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuboresha maisha yake kwa sababu fedha alikuwa nayo,kibaya sasa hivi ukisikiliza maelezo jamaa naye maisha yamemchapaHapo ujue kosa kubwa ambalo mwanaume mwenye akili timamu hawezi kulivumilia na kuamua kutelekeza familia ni kugundua anapigiwa, na wanawake wakishaanza huo mchezo nje ya ndoa ujisahau na kusnza dharau na hujutia baadae. Ndo yaliyomkuta huyo bi dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila anaweza kuzaa nje na kutelekeza watt na kuzidi kuunda chain ya single mother's na ukija kujua ukweli wanawake wote aliwadanganya hana mke wala mtoto , ?
Kuna muda mnajitengenezea laana bhana msifanye hivyo dah
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Itakuwa hujaona text zake nilizotuma hapa kabla sijafuta ,Bado Dada yngu ujanielewa au utaki kunielewa huyo mwanaume kweli anaweza kuwa mshenzi km unavyotaka tuamini ila jambo lolote ni vzuri kusikiliza pande zote mbili ndio tupate jibu sahihi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali pande zote , kikubwa tu tunajifunza kupitia makosa ,Bado Dada yngu ujanielewa au utaki kunielewa huyo mwanaume kweli anaweza kuwa mshenzi km unavyotaka tuamini ila jambo lolote ni vzuri kusikiliza pande zote mbili ndio tupate jibu sahihi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali pande zote , kikubwa tu tunajifunza kupitia makosa ,
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Kuna wanaume wanachezea bahati sana, sikiliza haya mahojiano upate cha kujifunza...
Kama anachosema huyu mama ni cha kweli basi mumewe atakuwa amejitakia umasikini mwenyewemkuu ogopa sanaa wanawake wanataasisi zinawatetea sanaa. mwanaume anaona poa ngoja nikafie mbele. wanaume wanapenda sana watoto wao na familia kwa ujumla na ukiona hivyo hujue hali si shwari mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ina mambo mengi,wengi wanavurugwa