Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Hapa hamna mwanamke....hawa ndiyo wale wanasema man are devil trach we dont eed man, kwangu hata kama mke wangu yupo stable au hayupo issue kama ya kuhudhuria shuguli ni part of life...yani ni awareness aseme anenda hata kama simpu nauli au amenunua nguo za shuguli its just life we have things to do and participate ....so mentality inatakiwa tu kuwa nimeaga basi na mwanaume mwenye akili na uafamau na anayempenda mkewe ni issu hata haina kelele tena ntauliza unahitaji suport yeyote au nikusindikize au ndo anaeda ana drive mwenyewe swa...ila hii kusema eti sababu ana financial so anatoa taaria au haitaji ruhusa ni kuleta ushindani usi na akili,,,wanawake wa hivi ndio wale wale nawaita TOXIC FEMINIST
 
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Mkuu,
Mbona naona kama umemtafsiri vibaya.
Ameongea TU in good faith kwamba financial freedom imempunguzia mlolongo wa kuomba ruhusa, japo ameomba.
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Nimeona kuna janaume limekenua meno kusapoti huo ujinga.
 
Back
Top Bottom