Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Siku hizi wanajiita Super woman, ukiongea nao kwa dakika 5 kama huna uvumilivu unaweza tandika makofi.
Nawachukja sna Hilo neno waliopachikwaa wamevimba bichwaa

Kwa Kweli sitakagi mzaaa wa kumshapu mwanamke na kumuona shujaaa na hicho kilinifanya kufaulu secondary kwani nilikiwa sitaki kusikia mwanamke ananikimbiza kimasomo silali usku kuhakiksha nameza vitus

Ni kheri mwanaume anikimbize kwa masomo Ila siyo mwanamke
 
Maneno aliyotamka huo bibie ndio uhalisia wa ulimwengu wa Sasa....ndio mfumo ulioandaliwa ili kuuangusha uanamume Duniani....na huo mpango unaratibiwa na mashirika mbali mbali Duniani na fedha nyingi zinatumika kufanikisha Hilo Kwa kutumia NGOs mbali mbali......

Hizi ni nyakati ngumu sana kwa wanaume....ipo vita ya kimya kimya inayopiganwa ili kuondoa mfumo wa kiume Duniani.......

Mfumo huo unaanzia ngazi ya familia mpaka kwenye sheria za serikali......kila sehemu mwanaume amewekewa vikwazo na akisema ajitetee hata Kwa kuongea anaaambiwa anamkandamiza mwanamke.......

Matokeo yake Sasa hivi wanaume tumebakia wapweke hatuna pa kusema.....kisemeo chetu ni chupa za bia na pombe kali na kwenye mechi za ligi mbali mbali....huko ndiko ambako kidogo tunaweza walau kutabasamu.........

Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kuwa hichi wanachokipigania ni ndio shimo lao la maangamizi.....muda utaongea....

[emoji28] Umeongea kwa masikitiko sana mkuu pole
 
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Wengi wao wanawezeshwa baadaye MABICHWA YAO yanakuwa makubwa na vituko vingi kama CHAUSIKU..
DAWA yao ndogo. Mwanaume fungasha viroga SLIDE. Miezi 6 tu mingi ona atavyoanza mishe za kukurudisha!
 
Huwezi kuwa serve two masters at the same time. Huwezi kupanda farasi wawili kwa wakati mmoja, utaishia kupiga msamba. Kua na uhuru wa kipato na ku heshimu waume zao? That's a lot on your plate (problems) you're asking for! You must pick one!
Rais Samia hamweshimu mumewe??
 
Lishangazi la hovyo, eti nimeshona sare, nimetia mafuta kwenye gari... ndo nn? Madildo na ma vibrator yanawapa sana viburi wasimbe washaota sugu wanajiona comando suzy!

Na huyo mwamba mwenye miwan kaz kujichekesha tu akat hela zawadi za story of change hajatoa, mxiuuu!
Kudadadeki
 
Shemela Evelyn Salt, Bantu Lady, Mideko, lovely love, Kapeace, binti kiziwi, Dejane, Kalpana, Lanlady, Lovelovie, Numbisa, Mamndenyi etc embu elezeni kama huyu mama yupo sawa au la..!!
Mama kakosea sana..ila mwanaume alikosea zaidi kama alioa uyo mama akiwa na pesa zake,,
Wanawake wengi wanaamini heshima ya mwanaume ni kwa sababu ndio huwa wanalea familia yaan pesa anayoacha kila siku mwanaume na kulipa bils ndio inampa heshima ndani ya nyumba
Sasa habari ya kuoa mwamamke mwenye pesa zake na ukategemea akuchukulie kwa heshma zote akunyenyekee kama mume aisee utasubiri sana mana wengi wanawake wakishashika pesa wanajiona ni wanaume pia na wanataka kua na uhuru pia.
Kama ambavyo mwanaume anaweza kutoka muda wowote akaaga au asiage basi na mwanamke akishakua na peaa zake ni ngoma droo nayeye kuna muda atataka atoke na marafiki zake na hutamkataza mana ana financial freedom.
Kwa usalama wenu wanaume irudieni asili na muache kutaka kusaidiwa kuleta pesa nyumban japo sio wote ila wengi wenu mnahangaika kutafuta independent woman ambao wanasababisha mnakufa mapema sana
Hata kama wewe ni bodaboda hakikisha mwanamke wako hakuzidi kipato au hana kazi kabisaaaa.
Baizewei mi nnajishughulisha kutafuta pesa ila najua heshma kwa mwanaume.
 
Mama kakosea sana..ila mwanaume alikosea zaidi kama alioa uyo mama akiwa na pesa zake,,
Wanawake wengi wanaamini heshima ya mwanaume ni kwa sababu ndio huwa wanalea familia yaan pesa anayoacha kila siku mwanaume na kulipa bils ndio inampa heshima ndani ya nyumba
Sasa habari ya kuoa mwamamke mwenye pesa zake na ukategemea akuchukulie kwa heshma zote akunyenyekee kama mume aisee utasubiri sana mana wengi wanawake wakishashika pesa wanajiona ni wanaume pia na wanataka kua na uhuru pia.
Kama ambavyo mwanaume anaweza kutoka muda wowote akaaga au asiage basi na mwanamke akishakua na peaa zake ni ngoma droo nayeye kuna muda atataka atoke na marafiki zake na hutamkataza mana ana financial freedom.
Kwa usalama wenu wanaume irudieni asili na muache kutaka kusaidiwa kuleta pesa nyumban japo sio wote ila wengi wenu mnahangaika kutafuta independent woman ambao wanasababisha mnakufa mapema sana
Hata kama wewe ni bodaboda hakikisha mwanamke wako hakuzidi kipato au hana kazi kabisaaaa.
Baizewei mi nnajishughulisha kutafuta pesa ila najua heshma kwa mwanaume.
Wacha mwanamke akasake pesa mie naona ni uwoga tuu wa kutombewa mke ndio kinachowakwaza wanaume wengi. Wacha mke atoke tuu kwa raha zake cha msingi mbususu anakupa.
Akikunyima mbususu hapo sasa ndio unamfukuzia mbali.
Tusiwe tunamaindi vitu vidogo kama mke kutoka kwa pesa zake mwenye sijui kuonja de libolo tofauti once in a while, ladha lazima mwanamke abadilishe plus kuna raha gani kutomber mwanamke ambae wanaume wengine hawamtamani?
 
Mimi najitegemea in fact, lakini hakuna maisha mazuri kama mke na mume kuwa marafiki, mume kumhudumia mke, na mke kumheshimu mume, naenjoy mume wangu akiniwekea vocha nikienda saluni lazima atauliza unataka sh ngapi kama nywele ni elfu 20 na ninajua siku hiyo hana kitu ntamwambia nahitaji 10 ingine nilimuachiaga dada wa saluni chenj yangu, au nyingine ntaongezea utanilipa.

Mwanamke unaesoma hapa elewa hata upate vipi hela please usimnyang'anye mwanaume uanaume wake,(manhood) aidha kwa maneno au matendo yako au kwa kujigamba , maintain his man hood please.

Huyo Mercy Mchechu alieongea hivyo amewapa sababu wanawake wandagaji kumtafuta mumewe.

Tuna maisha ya kawaida lakini mgeni akija kwangu kwa anachokikuta lazima atajifunza kitu, utashangaa sasa limama lizima likija linaniita pembeni eti unanyenyekeaje mwanaume atakuja kukusaliti, wanadam wote wanasaliti, ishi ndoa yako Leo sasa hivi, kwamba ulisalitiwa ilishapita utasalitiwa haijatokea bado, kwa hiyo tunaweza kusema mengi kutaka umaarufu lakini UKWELI upo pale pale, Mwanamke anaeaga ana nafasi kubwa ya kuaminimka kuliko asiyeaga, anayepewa hela kulingana na kipato cha mumewe anapendwa zaidi kuliko asiyepewa.
Hongera Dada kwa hekima hii.
 
kikristo wengi wanadharau,wanajua mme hawezi ongenza mke mwingine
Kweli hii hata mimi naamini ndoa nyingi za kikristo wanaume wengi ndo wanalea watoto sio wao, maana hata mkewe anakuwa na jeuri kuwa ndoa ni mara moja hata akiniacha kuoa mwingine hawezi.
MUNGU ATUSAMEHE TUU
 
Wacha mwanamke akasake pesa mie naona ni uwoga tuu wa kutombewa mke ndio kinachowakwaza wanaume wengi. Wacha mke atoke tuu kwa raha zake cha msingi mbususu anakupa.
Akikunyima mbususu hapo sasa ndio unamfukuzia mbali.
Tusiwe tunamaindi vitu vidogo kama mke kutoka kwa pesa zake mwenye sijui kuonja de libolo tofauti once in a while, ladha lazima mwanamke abadilishe plus kuna raha gani kutomber mwanamke ambae wanaume wengine hawamtamani?
Huhitaji TBS wakufanyie tafiti ili waje na vipimo vyenye majibu ya utabiri wa kitabia kuwa mkeo atakuwaje akianza kushika pesa na kujihusisha na biashara.

Mwanamke akiwa katika mfumo wa utafutaji wa fedha automatically ataanza kuwa mtu wa kutumia masaa mengi nje ya nyumba kuliko kuwapo ndani hivyo ratiba za ndani ya nyumba zitamshinda.

Huko nje lazima atakuwa na mazoea na watu na kuwa na mahusiano mapya aidha ya kirafiki au mahusiano ya kingono na hao watu wa nje hiyo ni possibility kubwa kama atakuwa anatoka asubuhi anarejea jioni. Kumbuka yeye ni binadamu kama wewe akiwa mbali na wewe na mbali na nyumbani atakuwa anacheza na akili ya mazingira yale anaposhinda so atahitaji marafiki, watu wa kushirikiana nae muda wote na muhimu zaidi mtu wa kumpa mapenzi.

So hapa tunachoongelea ni mazingira gani ambayo mwanamke ambaye ni mke wa mtu anafaa kuwapo na still kuweza kumudu majukumu ya ndoa yake.

Kama na wewe utakuwa nae eneo anaposhinda itakuwa sawa. Yaani kama vile wahindi unavyowaona wanakuwa na wake zao eneo la kazi so inasaidia kuwa pamoja muda wote, wakitoka wapo pamoja wakirudi wako pamoja.

Hiyo ni katika kupunguza mazingira ya kuwa na mwanaume mwingine. Ila eneo la familia ni ngumu sana mwanamke ambaye anajishughulisha na maswala ya kifamilia kuwa serious na malezi ya watoto na kulea familia

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Ati huyu naye ni Mke
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Hiyo ndio feminism katika ubora wake. Unamuacha, unatafuta mwingine bomba unaongeza bidii ya kutafuta mapeni
 
Back
Top Bottom