KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Sa ka unabiga picha umebinua biriani unategemea nini!?Unajua kinachokera sasa hivi wanaume wengi walishajiwekea wanawake wote ni rahisi kumbe sio hivyo.
Na pengine aliinyoa kabisa kabla ya kwenda.Huyo ulikuwa unamzimia tu, mwanaume mpaka kumfuata kwake ulikuwa ushajiandaa kwa kutiwa. Huyo ametimiza matarajio yako tu.
HahahahNa pengine aliinyoa kabisa kabla ya kwenda.
Ulifanikiwa kumla sasa mwanzo wa semester mpya?Kuna mmoja alikuaga kanizidi kidogo umri kipindi iyo chuo, na mi ndo nilikua CR,
Basi bhana mi nikawa nimesha msoma matendo yake ila nikawa naogopa kujiongeza.
End of semester akaamuaga kunipigia na kunielezea hisia zake damn moyo ulipiga paah afu nikashindwa nimjibu nn[emoji3]
Nakumbuka kuna demu mmoja nilimtuma kipikipiki posta wangu akasema ana mtu wake nikaona isiwe tabu Mara paaap siku 3 mbele nikakutana nae road nikaomba namba akanipa kilichofuata hakusema tena ana mtu wake zaid baby uko wapiiiii Mara umefua nguo maraaaaa ohhh Leo nataka kuja kulala kwako. Shenz kabisa
Lakini ushirikiano wa kupindua kiun.o aliutoaDemiss aliamka akajikuta alishavua chupi!
Lakini ushirikiano wa kupindua kiun.o aliutoa
Of course Tena ye alikua mwajiliwa kabisa na darasa letu lilikua ni la usiku Yani evening mnaingia kwenye pindi saa kumi kutoka saa mbili usiku.Ulifanikiwa kumla sasa mwanzo wa semester mpya?
Of course Tena ye alikua majiliwa kabisa na darasa letu lilikua ni la usiku Yani evening mnaingia kwenye pindi saa kumi kutoka saa mbili usiku.
So nilienjoy kwa kifupi mpaka ka baby worker chake akawa ananikabiz key[emoji3] sa ivi sijui kaolewaga na nani
Mkuu umeandika ule mwandiko wa kile chama Cha siasaHATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
Hahaha aisee sio mchezo, ilikuwa masters nini? Hio tamu kweli kweli.Of course Tena ye alikua mwajiliwa kabisa na darasa letu lilikua ni la usiku Yani evening mnaingia kwenye pindi saa kumi kutoka saa mbili usiku.
So nilienjoy kwa kifupi mpaka ka baby worker chake akawa ananikabiz key[emoji3] sa ivi sijui kaolewaga na nani
Ulipoamua kwenda kumsalimia kwake ni kwamba alikutongoza kwa namna moja au nyingine hadi ukakubali kwenda na kufikia hatua hadi ya ku- share tandikoKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Nimeweka msisitizo hawa watu hawatulii yaani macho juu juu.Mkuu umeandika ule mwandiko wa kile chama Cha siasa
Kuna watu hawana uwezo wa kuongea wana pesaKwani kutongoza unatumia muda mrefu,unajua unapojiexpress hisia zako kwangu,kuna vitu vinaniteka akili lakini kutumia mbinu hizo hahahahaha nacheka kwanza
Mwanaume hana enjoyment zaidi ya kukojoaUbakaji huo sasa,tongoza mpaka mwanamke akubali kuwa,aridhie kukuzawadia penzi,kubakana huko umeenjoy nini sasa