Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Ulifanikiwa kumla sasa mwanzo wa semester mpya?
 


Na mzigo ukala siyo!
 
Hiv anaetuma miamala kama sound zake mnazungumziaje?.
 
Ulifanikiwa kumla sasa mwanzo wa semester mpya?
Of course Tena ye alikua mwajiliwa kabisa na darasa letu lilikua ni la usiku Yani evening mnaingia kwenye pindi saa kumi kutoka saa mbili usiku.

So nilienjoy kwa kifupi mpaka ka baby worker chake akawa ananikabiz key[emoji3] sa ivi sijui kaolewaga na nani
 
Wavulana kwa kubembeleza hatujambo cjui Tuna comment wapi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 


Duh noma sana
 
Mkuu umeandika ule mwandiko wa kile chama Cha siasa
 
Hahaha aisee sio mchezo, ilikuwa masters nini? Hio tamu kweli kweli.
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Ulipoamua kwenda kumsalimia kwake ni kwamba alikutongoza kwa namna moja au nyingine hadi ukakubali kwenda na kufikia hatua hadi ya ku- share tandiko
 
Ukirejea maana ya kutongoza katika kamusi yetu haitakupa tabu tena

Tatizo mmekariri kutongoza mpaka tuanze kujieleza maneno meeeengi mpaka tukubaliwe
 
Kwani kutongoza unatumia muda mrefu,unajua unapojiexpress hisia zako kwangu,kuna vitu vinaniteka akili lakini kutumia mbinu hizo hahahahaha nacheka kwanza
Kuna watu hawana uwezo wa kuongea wana pesa
Wengine hawana pesa wanajua kuongea
Wengine wanajua kuongea lakini hawawezi kushawishi

Hapo ndipo njia mbadala zinapokuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…