sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Hahaha! unataka kuazima hisia ??!Bora akwambie anakupenda mtu ajue la kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! unataka kuazima hisia ??!Bora akwambie anakupenda mtu ajue la kufanya
Na umri huo ke ndio wanaotongoza kuliko me, na ukimkubalia anakuganda balaa!Kuna umri ukifika hakuna tena kutongozana ni full appointment tu mengine yanafuata. Dunia inakwenda kasi sana tuna mengi ya kufanya.
Atakuwa ana pepo huyo!Kuna mdada alikujaga saloon ya kiume,
Alimleta mtoto kunyoa, so wakati yule mtoto ananyoa mi nikawa naongea na uyo mdada
Hata sikumbuki nilimwambia nn muda huo nikamshika mkono nikaenda kujipigia na at sent sikumpa[emoji3]
Hongera kwa kiuno chembamba na macho ya kuitaKuna mwingine anakusifia mara kiuno chembamba,mara macho mazuri,mara unatembea vizuri...yani ndio kamaliza hapo eti
Wanaume aseeee!
Ku fake mi ndo siwezagi mkuu, afu pili ni ngumu Sana ujue kumjibu mtoto wa kikeKumbee !!! Ila alijihisi vibaya kwa kutomjibu ungejaribu kuheshim hisia zake bwana
ulifurahiKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Una shida mahali si bure.Mkuu kuna wanawake wanatamani kweli uwatongoze basi wewe umekuwa Mzito...wanapenda sana swaga zako kama hawa Mzigua90 @Khantwe cute b ila Sakayo anakuheshimu tuu
Alikutongoza ndotoniKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
aaah sijasema eti unamwambia i love you anakubali. tena ukimtamkia hilo neno ni ugomvi.Uongo wa kizamani huu eti mzungu kumtongoza una mwambia i love you kashakuelewa . Jaribu uone.
Mkuu mimi nafikiri huenda mtoa maada hajui maana ya kutongoza.Mi hata kutongoza sijui aisee,
Hivi inabidi tusemaje ili tuwe tayari tushatongoza??
Wengine muda wa kuimba imba utafikiri unaomba Visa ya Marekani hatuwezi!!
Kweli nimeamini msema kweli ni mpenzi wa MUNGU.Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Ugumu gani??? Mbona sisi huwa tuna wapa majibu ya hapo kwa hapoKu fake mi ndo siwezagi mkuu, afu pili ni ngumu Sana ujue kumjibu mtoto wa kike
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Hahahaha we mzee weweSisi wengine huwa tunavizia akienda kisimani, kisha tunakata ngwala, alafu tuna gegeda tu.
Na hapo hauwezi kuta Ke anapiga kelele kwamba anabakwa, basi ujue ndio kisha kubali hivyo....tehteehh [emoji23][emoji23][emoji23]