Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Hapo hana kakitambi ka kufutia simu stimu zoote zimekata
 
wanaume wa hivo hawana akili ya maisha wamekalia kuringaringa tu... Hawanaga maamuzi ya kiume.. Wanawaza kujipodoa na kuvaa designers clothes... ndo hao akiagiza chakula anabakisha zaidi ya nusu. . Napenda mwanaume mwenye muonekano wa kiume na sio mwanaume mrembo lol
 
wanaume wa hivo hawana akili ya maisha wamekalia kuringaringa tu... Hawanaga maamuzi ya kiume.. Wanawaza kujipodoa na kuvaa designers clothes... ndo hao akiagiza chakula anabakisha zaidi ya nusu. . Napenda mwanaume mwenye muonekano wa kiume na sio mwanaume mrembo lol
Basi kwangu umefika,Mimi ndiye mwanaume wa ndoto yako
 
wanaume wa hivo hawana akili ya maisha wamekalia kuringaringa tu... Hawanaga maamuzi ya kiume.. Wanawaza kujipodoa na kuvaa designers clothes... ndo hao akiagiza chakula anabakisha zaidi ya nusu. . Napenda mwanaume mwenye muonekano wa kiume na sio mwanaume mrembo lol
Sio wote tafadhari mkuu, ucgeneraliz kuna akina Ronaldo wako hvyo na wanafight, tusiende mbali wapo washkaji kibao wanapambana kibabe wanamiduka mikubwa tu kariakoo na still wanajipenda. Sometimes ni kuamua tu, wapo unaowasema lakini ukisema wote sio kweli. Be humble
 
Yaani wewe umenikinbusha mbali sana siku mojanimekaa na wifi yenu mahala tunapata Juice Akapita Jamaa Black Wifi yenu kisha akasema Napendaga Wanaume weusi na warefu ikabidi nijiangalie kwenye kioo cha Simu nikagundua hiyo Rangi Sina hata Sikumbuki ile Bili alilipa nani? Ndiyo ilikuwa mwisho wangu na yeye.
 
Sio wote tafadhari mkuu, ucgeneraliz kuna akina Ronaldo wako hvyo na wanafight, tusiende mbali wapo washkaji kibao wanapambana kibabe wanamiduka mikubwa tu kariakoo na still wanajipenda. Sometimes ni kuamua tu, wapo unaowasema lakini ukisema wote sio kweli. Be humble
Kweli kabisaa mkuuu
 
Back
Top Bottom