Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kwangu umefika,Mimi ndiye mwanaume wa ndoto yakowanaume wa hivo hawana akili ya maisha wamekalia kuringaringa tu... Hawanaga maamuzi ya kiume.. Wanawaza kujipodoa na kuvaa designers clothes... ndo hao akiagiza chakula anabakisha zaidi ya nusu. . Napenda mwanaume mwenye muonekano wa kiume na sio mwanaume mrembo lol
Too late to catch a plane....nimekwishaolewa na mwanaume wa kweli. ..Basi kwangu umefika,Mimi ndiye mwanaume wa ndoto yako
Sio wote tafadhari mkuu, ucgeneraliz kuna akina Ronaldo wako hvyo na wanafight, tusiende mbali wapo washkaji kibao wanapambana kibabe wanamiduka mikubwa tu kariakoo na still wanajipenda. Sometimes ni kuamua tu, wapo unaowasema lakini ukisema wote sio kweli. Be humblewanaume wa hivo hawana akili ya maisha wamekalia kuringaringa tu... Hawanaga maamuzi ya kiume.. Wanawaza kujipodoa na kuvaa designers clothes... ndo hao akiagiza chakula anabakisha zaidi ya nusu. . Napenda mwanaume mwenye muonekano wa kiume na sio mwanaume mrembo lol
Mm sipend show la kibabe
Ha ha ha ha kumbe mbiti yaza ni ke .du hilo jina inaonekana una surambaya kama fisimie had kesho napenda men wenye dimpozi
Ha ha ha ha kumbe mbiti yaza ni ke .du hilo jina inaonekana una surambaya kama fisi
I can't believe your eyez
Kweli kabisaa mkuuuSio wote tafadhari mkuu, ucgeneraliz kuna akina Ronaldo wako hvyo na wanafight, tusiende mbali wapo washkaji kibao wanapambana kibabe wanamiduka mikubwa tu kariakoo na still wanajipenda. Sometimes ni kuamua tu, wapo unaowasema lakini ukisema wote sio kweli. Be humble