Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kwakweli binadamu tumepishana vitu vingi sana ..kila binadamu Mwenyezi MUNGU kamuumba kwa mfanano wake..Binafsi mimi sina chaguo lolote kwa mwanaume,awe mzuri,awe mbaya(ingawa najua hakuna mbaya duniani),awe mwembamba mnene,mweupe mweusi sijali ..nacho angalia ni mapenzi ya kweli tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbeeeeee,,,, napata pcha sasa, sister kanitambulisha shem utambulisho ukawa mreeeeefu had ckuelewa dhamira
Dhamira nahisi umeshaipata mpaka hapo
 
Sawa,jinafasi ktk hilo,ila fasheni YENU sasa ni Lusaka pesa kama hamna akili hivi,nawapingezaa ke wote wasioendekeza kukutana kimwili ila uchumi zaidi.
 
85% huwa ni mchicha mwiba... wanaboostiwa kabla ya kuboost...
ZERO LINDA

cc davito na wengineo
hakuna kitu kama hicho, Kaoge alikuwa mzuri?! ambao hamjabarikiwa mnapenda kuwazushia wenzenu kuwa mchicha mwiba ni tamaa za muhusika tu
 
Back
Top Bottom