Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Sasa hela za shem mi zanini [emoji23][emoji23] wat I care wameridhiana wamependana it's OK. Sasa eti anagari wakati sie tunayo it doesn't make sense.
Hakuna kuuliza swal hapo jibu umeshapata maana ssta angetafuta ni kipi mngemsifia mumewe kama sura mbaya si anaificha na utajir wakee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hakuna kuuliza swal hapo jibu umeshapata maana ssta angetafuta ni kipi mngemsifia mumewe kama sura mbaya si anaificha na utajir wakee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
hakuna kitu kama hicho, Kaoge alikuwa mzuri?! ambao hamjabarikiwa mnapenda kuwazushia wenzenu kuwa mchicha mwiba ni tamaa za muhusika tu
Afadhli umenisaidia maana wagumu kuelewa
 
Hakuna kitu kinanikela kama mwanamke kumsifia mwanaume mwenzangu kama hivi .....mahandsome tupo tena zaid ya huyo
Inaumiza sana wasifiwe wengine halafu wewe husifiwi.

Hata mimi sipendi kabisa.

Why not us?
 
Back
Top Bottom