Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.

Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa. ✍️
 
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.

Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.

Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... ✍️
Daah
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.

Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... ✍️
Mungu akupi unachotaka anakupa kunacho staili uyo uyo asye na sifa tajwa kwa maaelezo yako ndo fungu lako ilo
 
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.
Kuna mwanadada/mwanamama kafa kaoza kwa sifa za mwanaume uliyemtaja hapa

Usichokijua ni kwamba wakati mwingine upendo wa kweli huwa haulezeki/hauna sababu
 
Maneno ya mkosaji ayo,

Uliingia nae vipi kwny mahusiano ukijua kabisa Hana hivyo Vigezo unavyovitaka?

Kama kigezo Ni pesa tu, Basi sema wazi kwamba unajiuza.

Na Kama kweli unajiuza,
Uliona wapi kahaba akaangalia maswala ya uvaaji wa mteja wake.
Kwani uchi wenyewe mnauziana mkiwa na nguo?

Tusizunguke mbuyu Mtoa mada,
Hii biashara ya uchi wewe huiwezi, Hii kazi waachie weyewe.

Nchi hii,
Fursa ziko chungu mzima, Nenda katafute kazi nyingine.

Msimu wa kilimo huu mvua zinaonyesha kila kona, nenda shamba kalime mazao ya chakula. Ukraine wanapigana Vita kule, hawalimi njaa Kali sana [emoji3525]

(No offense intended [emoji120][emoji4])

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.

Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... [emoji3578]
Kwani bado unajiuliza umpende nani?
 
Back
Top Bottom